Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BABA HAJI APIGA DONGO UONGOZI BONGO MOVIE

Na Gladness Mallya
STAA wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ amewatupia dongo kiaina viongozi waliopita kwenye Klabu ya Bongo Movie Unity kwa kuusifia uongozi wa sasa wa klabu hiyo unaoongozwa na Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Staa wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’. Akipiga stori mbili tatu na mwandishi wetu, Baba Haji alisema kuwa uongozi wa Steve umeleta mabadiliko...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BABA HAJI: KANUMBA AMEONDOKA NA SANAA YA BONGO

Hamida Hassan na Shani Ramadhani/Risasi NYOTA wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba Haji’ amefunguka kuwa, soko la filamu  Bongo kwa sasa linashuka siku hadi siku  na sababu kubwa ni  wasanii kutopenda kwenda shule kujiendeleza kielimu na kujua ni jinsi gani filamu inatakiwa kutengenezwa. Nyota wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba Haji’. Akizungumza na Risasi Jumamosi,  Baba...

 

10 years ago

GPL

MTITU: SITAKI TENA UONGOZI BONGO MOVIE

Aliyewahi kuwa Katibu wa Klabu ya Bongo Movie, William Mtitu. Stori: LAURENT SAMATTA ALIYEWAHI kuwa Katibu wa Klabu ya Bongo Movie, William Mtitu amesema inawezekana watu wakawa bado wanahitaji kumuona akiwa kiongozi wa kundi hilo lakini yeye hahitaji tena kuongoza kutokana na kubanwa na kazi zake. Mtitu ndiye aliyekuwa kiongozi wa kwanza kujiuzulu nafasi hiyo baada ya mwenyekiti wake, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kipato, mavazi, changamoto kuu kwa uongozi mpya Bongo Movie

JANUARI 5, mwaka huu Klabu ya waigizaji ya Bongo Movie ilifanya uchaguzi wake wa kupata viongozi wapya watakaoiongoza  kwa mwaka mzima wa 2014 kama katiba yao inavyotamka. Katika uchaguzi huo...

 

5 years ago

Bongo5

Wasanii wa Bongo Movie wanaishi ‘Ki Bongo Flava’ – Nikki wa Pili

Msanii wa hip hop kutoka Weusi, Nikki wa Pili, ametia neno katika sakata linaloendelea la kupigwa marufuku kwa filamu za nje kwa madai zinaingizwa bila kulipiwa kodi hali ambayo imesababisha kuwa nyingi na kuzinyima filamu za ndani nafasi ya kufanya vizuri sokoni.

Hatua hiyo imekuja baada ya siku ya Jumatano wiki hii baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana wakiwa na Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Paul Makonda, kupinga filamu hizo ambapo RC huyo alipiga marufuku filamu hizo huku akitaka...

 

9 years ago

MillardAyo

Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)

Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva

Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu  wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao

“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni  mbali  hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Baba Haji: Wasanii tubadilike kifikra

MSANII nguli wa filamu za Bongo, Haji ‘Baba Haji’ amewataka wasanii wa tasnia hiyo kubadili na kucheza sinema zenye kuelimisha jamii kuhusu masuala yanayowakabili badala ya kutengeneza zinazohusu mapenzi mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani