MTITU: SITAKI TENA UONGOZI BONGO MOVIE
Aliyewahi kuwa Katibu wa Klabu ya Bongo Movie, William Mtitu. Stori: LAURENT SAMATTA ALIYEWAHI kuwa Katibu wa Klabu ya Bongo Movie, William Mtitu amesema inawezekana watu wakawa bado wanahitaji kumuona akiwa kiongozi wa kundi hilo lakini yeye hahitaji tena kuongoza kutokana na kubanwa na kazi zake. Mtitu ndiye aliyekuwa kiongozi wa kwanza kujiuzulu nafasi hiyo baada ya mwenyekiti wake, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k4EKQhGdUmDsOFOdylXe4gO2D3yR2ioFTRDoGYa90tgmNdNtZfOYS4UleTt7-aXqBfc58JOYW3XQu*ggfotgYeN/haji.jpg?width=650)
BABA HAJI APIGA DONGO UONGOZI BONGO MOVIE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyjsNjH8OkiaPaiDs2x9FjqGrntU*GPNhwxKMBG*P5O6Rp459W2CEBVsFSzW-Wrb0uOUEFILPo3kYE7jwIqEtsoU/22222.jpg?width=650)
DK. CHENI KUGOMBEA TENA BONGO MOVIE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7mZCoKTTMh*VvXxUbdD5LB2BOMi3IE35O36kBXPhgzolw6wH6Digg8INuTjh7yTo-bzzLs2zhZhqnI887IogZ7b/STEVE.jpg)
STEVE NYERERE KIMENUKA TENA BONGO MOVIE
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Kipato, mavazi, changamoto kuu kwa uongozi mpya Bongo Movie
JANUARI 5, mwaka huu Klabu ya waigizaji ya Bongo Movie ilifanya uchaguzi wake wa kupata viongozi wapya watakaoiongoza kwa mwaka mzima wa 2014 kama katiba yao inavyotamka. Katika uchaguzi huo...
10 years ago
Bongo Movies22 Feb
Jack: Sitaki Tena Ndoa!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa tena hii ni baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, Gadna Dibibi.
Jack alisema, kwa muda aliodumu kwenye ndoa ameshaona raha na karaha yake hivyo suala la kuolewa tena sasa hivi halipo akilini mwake.
“Katika ndoa lazima kuwe na mabaya na mazuri, hata hivyo siwezi kusema ndoa ni chungu hapana, ila mimi kwa sasa hivi nimeona nipumzike kwanza sitaki tena ndoa labda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jKMzIjeSyiVoFU*kIN988QrMmglKKIocC4GiuVc56tqK0OA-2fbBFgkxE7rP2k1FIrMyMHDfcUclBpgjblA4RKS/bella.jpg)
BELA: SITAKI TENA NDOA
5 years ago
Bongo514 Feb
Wasanii wa Bongo Movie wanaishi ‘Ki Bongo Flava’ – Nikki wa Pili
Msanii wa hip hop kutoka Weusi, Nikki wa Pili, ametia neno katika sakata linaloendelea la kupigwa marufuku kwa filamu za nje kwa madai zinaingizwa bila kulipiwa kodi hali ambayo imesababisha kuwa nyingi na kuzinyima filamu za ndani nafasi ya kufanya vizuri sokoni.
Hatua hiyo imekuja baada ya siku ya Jumatano wiki hii baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana wakiwa na Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Paul Makonda, kupinga filamu hizo ambapo RC huyo alipiga marufuku filamu hizo huku akitaka...