Bukombe hatarini kukumbwa na kipindupindu
WANANCHI wa eneo la soko la chakula la mji mdogo wa Ushirombo, wilayani Bukombe, Geita, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na dampo la taka kufurika. Diwani wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo09 Dec
UDSM yakana chuo kukumbwa kipindupindu
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Rwekaza Mukandala amesema wanafunzi wawili wa chuo hicho Kampasi ya Mlimani walioripotiwa kuumwa tumbo, hawana ugonjwa wa kipindupindu, bali walipata adha hiyo baada ya kula kwenye mgahawa wa Cafeteria One chuoni hapo.
9 years ago
StarTV22 Nov
Watanzania hatarini kukumbwa na magonjwa yasioambukizwa
Serikali na wadau wa afya nchini wametakiwa kuleta jitihada za pamoja ili kuweza kuisaidia jamii kupata elimu ya kutosha kuhusu namna ya kukabiliana na kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile saratani,kisukari,moyo na pumu.
Watu wengi nchini wanakumbwa na magonjwa yasiyoambukiza kutokana na kuishi mtindo wa maisha usiofaa kiafya.
Magonjwa yasiyoambukiza ni magonjwa ambayo yapo ndani ya jamii maskini na tajiri lakini mapambano dhidi yake hayapewi kipaumbele cha kutosha kama...
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko
Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).
Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.
Na Jumbe Ismailly, Ikungi
ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...
9 years ago
VijimamboCOMRADE MWIGULU NCHEMBA ATUA BUKOMBE,SASA JIMBO LA BUKOMBE MIKONONI MWA CCM
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-APoWX6NyevE/VYB3Ma25mII/AAAAAAAAeiE/vL_cjTa8Zq8/s72-c/6.jpg)
KINANA ALIVYOITEKA BUKOMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/-APoWX6NyevE/VYB3Ma25mII/AAAAAAAAeiE/vL_cjTa8Zq8/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RbuP2MiOk74/VYB_VW2AdRI/AAAAAAAAeio/1qpKe92lERA/s640/8.jpg)
Gari iliyombeba Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ikikatiza kwenye mto kuelekea kijiji cha Namalandulu,wilaya ya Bukombe mkoani...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Majambazi wafanya kufuru Bukombe
11 years ago
Mwananchi05 May
Mauaji ya vikongwe yazidi kutikisha Bukombe
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Nchi kukumbwa na ukame