Majambazi wafanya unyama
WATU wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wameteka magari mawili ya mafuta na kuwadhuru watu waliokuwamo kwa kuwakata mapanga na wengine kudaiwa kukatwa masikio. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Majambazi wafanya kufuru Bukombe
10 years ago
Vijimambo12 Oct
Unyama Dar
Mwanafunzi wa shule ya msingi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka saba, ameuawa kikatili baada ya kubakwa, kuchinjwa na kunyofolewa sehemu zake za siri.
Mwanafunzi huyo wa darasa la kwanza (jina linahifadhiwa), mwili wake ulikutwa umetupwa kwenye shamba karibu na nyumbani kwao jana maeneo ya Mbezi Temboni, kata ya Saranga.
Akisimulia tukio hilo, mama wa mtoto huyo (jina linahifadhiwa), alisema kuwa...
11 years ago
GPLUNYAMA ULIOJE!
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Unyama, ubabe wa polisi
ASKARI polisi Kituo cha Msimbazi, Wilaya ya Kipolisi Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameingia katika tuhuma za kumkamata, kumpiga na kisha kumvunja mikono yote Kulwa Kitange (40), mkazi wa Kigamboni,...
11 years ago
GPLHUU SASA NI ZAIDI YA UNYAMA!
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Tunalaani unyama huu wa Polisi
JESHI la Polisi, juzi lilifanya kile kinachoweza kuitwa kuwa ni unyama na ukatili uliopitiliza dhidi ya waandishi wa habari na watu walioamua kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Unyama huu wa manispaa ukmeshwe
MARA nyingi katika safu hii na katika mikutano mbalimbali nimeelezea hali ya kusikitisha na kukirihisha ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika sehemu nyingi Zanzibar. Siku za nyuma wengi waliohusika na...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Unyama zaidi wabainika Operesheni Tokomeza
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Mtanzania afanyiwa unyama wa kutisha ‘Sauzi’
Akatwa sehemu za siri, ajeruhiwa vibaya mgongoni, tumboni na kwenye jicho
NA MWANDISHI WETU
MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Jumanne Tevez, mkazi wa Dar es Salaam, amefanyiwa unyama baada ya kudaiwa kukatwa uume wake na wenzake.
Habari za uhakika kutoka chanzo chetu cha habari zilisema kuwa Tevez, amelazwa katika hospitali moja nchini Afrika Kusini akipatiwa matibabu.
Chanzo chetu hicho ambacho kipo karibu na familia ya mfanyabiashara huyo, kilieleza kuwa taratibu zinafanywa ili mke...