Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unyama Dar

Mwanafunzi auawa kikatili baada ya kubakwa, kuchinjwa shingo na kunyofolewa sehemu nyeti
Mwanafunzi wa shule ya msingi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka saba, ameuawa kikatili baada ya kubakwa, kuchinjwa na kunyofolewa sehemu zake za siri.

Mwanafunzi huyo wa darasa la kwanza (jina linahifadhiwa), mwili wake ulikutwa umetupwa kwenye shamba karibu na nyumbani kwao jana maeneo ya Mbezi Temboni, kata ya Saranga.

Akisimulia tukio hilo, mama wa mtoto huyo (jina linahifadhiwa), alisema kuwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UNYAMA ULIOJE!

Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima UNYAMA ulioje? Mtoto Fatuma Hassan (9) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Hekima iliyopo Tandale, Dar anadaiwa kufungiwa ndani kwa siku tatu kisha kuchomwa moto na mama yake mkubwa aliyetajwa kwa jina moja la Diana (38), mkazi wa maeneo hayo, kisa kikielezwa kuwa ni shilingi mia tano. Mtoto Fatuma Hassan (9) anyedaiwa kufungiwa ndani kwa siku tatu kisha kuchomwa moto mikononi na mama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi wafanya unyama

WATU wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wameteka magari mawili ya mafuta na kuwadhuru watu waliokuwamo kwa kuwakata mapanga na wengine kudaiwa  kukatwa masikio. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unyama, ubabe wa polisi

ASKARI polisi Kituo cha Msimbazi, Wilaya ya Kipolisi Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameingia katika tuhuma za kumkamata, kumpiga na kisha kumvunja mikono yote Kulwa Kitange (40), mkazi wa Kigamboni,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunalaani unyama huu wa Polisi

JESHI la Polisi, juzi lilifanya kile kinachoweza kuitwa kuwa ni unyama na ukatili uliopitiliza dhidi ya waandishi wa habari na watu walioamua kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

11 years ago

GPL

HUU SASA NI ZAIDI YA UNYAMA!

Stori: Deogratius Mongela
Huu ni zaidi ya unyama! Mama ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi huko Tandika, Dar, almaarufu kwa jina la Mama Kumburu, anatuhumiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia wa mtoto wa miaka 10 kisha kutiwa mbaroni. OFM yamuokoa mtoto wa huyu. Baada ya kupata malalamiko ya raia kuwa kuna mtoto anatumikishwa kazi za mtu mzima, hivi karibuni Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) iliingia mzigoni na kwenda kumwokoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unyama huu wa manispaa ukmeshwe

MARA nyingi katika safu hii na katika mikutano mbalimbali nimeelezea hali ya kusikitisha na kukirihisha ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika sehemu nyingi Zanzibar. Siku za nyuma wengi waliohusika na...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMKE AFANYA UNYAMA WA KUTISHA TABORA

Zuhura Masoud (25), akiwa kwenye karandinga la polisi nyumbani kwake mtaa wa Chamchem mkoani Tabora, baada ya kutiwa mbaroni na polisi wakimtuhumu kufanya mauaji ya watoto wake wawili wa kuwazaa na kisha kuwafukia mmoja sebuleni na mwingine chumbani kwake
MWANAMKE mmoja mjini Tabora, amewaua kwa amewanyonga watoto wake wawili wa kuzaa kisha kuwazika ndani ya nyumba.
Polisi mjini Tabora imethibitisha leo Jumatatu Januari 26, 2015, kuwa mwnadada Zuhura Masoud mwenye umri wa miaka 25, alitekeleza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kumpiga mtu ni unyama na kinyume na sheria

NIMESEMA haya mara nyingi ninafikiri ni muhimu kuyarudia ili wale wagumu wa kuelewa wayasome mara nyingi na kujifunza. Tunaweza kuyarudia mara kwa mara hadi yaingie akili mwao.  Kumpiga mtu ni...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Akana kumfanyia unyama yaya wake



SUBIRA SAID NA EVA MBESELE, TSJ MWANAMKE Amina Maige, mkazi wa Dar es Salaam, anayedaiwa kumfanyia ukatili msichana wake wa kazi, kwa kumng'ata meno sehemu mbalimbali na kumsababishia majeraha amekana mahakamani kutenda kitendo hicho. Amina alikana kumfanyia hivyo, Yusta Kashinde, jana katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, mbele ya Hakimu Yohana Yongolo, wakati akisomewa maelezo ya awali. Akimsomea maelezo hayo, Wakili wa Serikali, Tumaini Mfikwa, alidai Amina (42), mkazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani