Kumpiga mtu ni unyama na kinyume na sheria
NIMESEMA haya mara nyingi ninafikiri ni muhimu kuyarudia ili wale wagumu wa kuelewa wayasome mara nyingi na kujifunza. Tunaweza kuyarudia mara kwa mara hadi yaingie akili mwao. Kumpiga mtu ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Hakimu mbaroni kwa kumpiga mtu risasi
10 years ago
CloudsFM16 Jul
Young Thug akamatwa kwa kosa la kutishia kumpiga mtu risasi.
Rapper kutoka Atlanta, Young Thug amewekwa chini ya ulinzi mapema siku ya jana huko Sandy Springs, Georgia baada ya kutishia kumpiga risasi mlinzi wa mall.
July 7, Jeffrey Williams au Young Thug alifanya vurugu kwenye mall hiyo “ upscale Perimeter Mall” ambapo alitishia kumpiga risasi ya uso mlinzi aliyekua akimtoa nje.
Young thug ni mmoja ya wasanii watakovaa steji ya tuzo za “MTV MAMA” Jumamosi hii.
9 years ago
Mwananchi07 Jan
Serikali yawasaka wanaoishi nchini kinyume cha sheria
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zgkPVeGgDL4/U9F7Gd4e4AI/AAAAAAAF54E/ltw4axs1xQo/s72-c/unnamed+(21).jpg)
aliyejiunganishia maji kinyume na sheria Kimara kwa musuguri matatani
![](http://1.bp.blogspot.com/-zgkPVeGgDL4/U9F7Gd4e4AI/AAAAAAAF54E/ltw4axs1xQo/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwx3Mx-eI0Y/U9F7GgTSRQI/AAAAAAAF54M/dvDghmkh8-U/s1600/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Raia wa Yemen ahukumiwa kwa kuingia nchini kinyume cha sheria
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Hassan Said Awadh (48), raia wa Yemen kulipa faini ya sh 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kwa makosa mawili ikiwamo kuingia nchini kinyume...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/150.jpg)
WALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI, DAR
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Uhamiaji Mkoa wa Singida yawakamata Warundi walioingia nchini kinyume cha sheria
Baadhi ya raia wa nchini Burundi walioingia nchini kinyume cha sheria wakiwa kwenye ofisi za idara ya Uhamiaji Mkoa wa Singida wakisubiri kurudishwa kwao wakiwa chini ya ulinzi wa askari wa kikosi cha uhamiaji
Na, Jumbe Ismailly
[SINGIDA] Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Singida inawashikilia watu saba raia wa nchini Burundi waliokutwa wakiwa katika Mji mdogo wa Itigi,wilayani Manyoni kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria.
Afisa uhamiaji Msaidizi wa Mkoa wa Singida,Moses Mandago alisema...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s72-c/tt.png)
KUSUDIO LA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOJIENDESHA KINYUME CHA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s1600/tt.png)
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anakusudia kuyachukulia hatua Mashirika yanayoendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2005.
Mashirika hayo ni yale ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kwa kipindi cha miaka miwili pasipo kutoa sababu za msingi, kulipa ada ya mwaka au kuendesha shughuli za NGOs bila kusajiliwa chini ya Sheria ya NGOs.Kwa taarifa hii, Mashirika husika yanatakiwa yawe yamerekebisha dosari tajwa...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Wageni wote wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume cha sheria kukamatwa – Masauni
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni, wakati wa mkutano wa kuzungumzia hatua zinazochukuliwa na...