Serikali yawasaka wanaoishi nchini kinyume cha sheria
Wizara ya Mambo ya Ndani imeanza operesheni ya kuwasaka raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume cha sheria ili warudishwe makwao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAGENI WOTE WANAOISHI NCHINI NA KUFANYA KAZI KINYUME CHA SHERIA KUKAMATWA - MASAUNI
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Wageni wote wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume cha sheria kukamatwa – Masauni
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni, wakati wa mkutano wa kuzungumzia hatua zinazochukuliwa na...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Raia wa Yemen ahukumiwa kwa kuingia nchini kinyume cha sheria
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Hassan Said Awadh (48), raia wa Yemen kulipa faini ya sh 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kwa makosa mawili ikiwamo kuingia nchini kinyume...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Uhamiaji Mkoa wa Singida yawakamata Warundi walioingia nchini kinyume cha sheria
Baadhi ya raia wa nchini Burundi walioingia nchini kinyume cha sheria wakiwa kwenye ofisi za idara ya Uhamiaji Mkoa wa Singida wakisubiri kurudishwa kwao wakiwa chini ya ulinzi wa askari wa kikosi cha uhamiaji
Na, Jumbe Ismailly
[SINGIDA] Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Singida inawashikilia watu saba raia wa nchini Burundi waliokutwa wakiwa katika Mji mdogo wa Itigi,wilayani Manyoni kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria.
Afisa uhamiaji Msaidizi wa Mkoa wa Singida,Moses Mandago alisema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XC_vQ8G9wjM/VQ_jXOLq5-I/AAAAAAAHMWY/3efrdar_WNQ/s72-c/Bhangi%2Bikiteketezwa%2Bbaada%2Bya%2Bkukamatwa%2Bkatika%2Bshamba%2Bla%2Bmahindi..jpg)
SITA MBARONI KWA KUMILIKI SILAHA KINYUME CHA SHERIA, KULIMA BHANGI NA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha matukio hayo kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amewataja watu wanaoshikiliwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/150.jpg)
WALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI, DAR
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Khsj_zSL8pQ/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s72-c/tt.png)
KUSUDIO LA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOJIENDESHA KINYUME CHA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s1600/tt.png)
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anakusudia kuyachukulia hatua Mashirika yanayoendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2005.
Mashirika hayo ni yale ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kwa kipindi cha miaka miwili pasipo kutoa sababu za msingi, kulipa ada ya mwaka au kuendesha shughuli za NGOs bila kusajiliwa chini ya Sheria ya NGOs.Kwa taarifa hii, Mashirika husika yanatakiwa yawe yamerekebisha dosari tajwa...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Waliosambaza matokeo ya Urais kinyume cha sheria wapandishwa kizimbani Mahakama ya Kisutu jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe...