UNYAMA ULIOJE!
![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oMMRDz9hqvWUGz*XAqm5otWxhmlER2nZSaK4GFDPk7TrcoQt5RbmMqxo0GUa6HouKzu0QLm65JKU6R6vY7T4dB5/unyama.jpg)
Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima UNYAMA ulioje? Mtoto Fatuma Hassan (9) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Hekima iliyopo Tandale, Dar anadaiwa kufungiwa ndani kwa siku tatu kisha kuchomwa moto na mama yake mkubwa aliyetajwa kwa jina moja la Diana (38), mkazi wa maeneo hayo, kisa kikielezwa kuwa ni shilingi mia tano. Mtoto Fatuma Hassan (9) anyedaiwa kufungiwa ndani kwa siku tatu kisha kuchomwa moto mikononi na mama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkqyNVqRkY42LxCutnlBjrfJ4Qmx97pC8H1lWGxgbyKe5X1l-tFQCNYBh37cRrlLCtnUpmJBkr79bjcQotjPw3y/Ukatilil.gif?width=650)
UKATILI ULIOJE!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGSkQ2O-ExJOeL8QIkHnagD6uLLblvIodQTl88kIp3E3ZmUj7xmYdMEtDI2zjwhA1WddCQzLWBZIlcDd4RlUzZD/Moto.jpg?width=650)
UKATILI ULIOJE! SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO WAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOTXQj7*AtWKrXqYXTywBlksVnYPz-IgqiCu1K1iR64I5n9*QEqxz4k1gJUNIQDeRF3a5Lfzly3S*b8EOZSYMeZH/mahaba.jpg?width=650)
UNAKUBALI MKEO AVAE NGUO ZA KUBANA, KITOVU NJE! USHAMBA ULIOJE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OUfuv8FZxJzOkmxjiBdPv*W62LMhgYv7SxNsajmrqh-VIWnPkYGO*y0bExeJ6znv7P4*frna81Fom7mRCa6HdK/sfsadat.jpg?width=650)
UKATILI ULIOJE! WAZAZI WAMPIGA, WAMFUNGA KAMBA MTOTO WAO, WAMFUNGIA NDANI
10 years ago
Vijimambo12 Oct
Unyama Dar
Mwanafunzi wa shule ya msingi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka saba, ameuawa kikatili baada ya kubakwa, kuchinjwa na kunyofolewa sehemu zake za siri.
Mwanafunzi huyo wa darasa la kwanza (jina linahifadhiwa), mwili wake ulikutwa umetupwa kwenye shamba karibu na nyumbani kwao jana maeneo ya Mbezi Temboni, kata ya Saranga.
Akisimulia tukio hilo, mama wa mtoto huyo (jina linahifadhiwa), alisema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Majambazi wafanya unyama
WATU wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wameteka magari mawili ya mafuta na kuwadhuru watu waliokuwamo kwa kuwakata mapanga na wengine kudaiwa kukatwa masikio. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Unyama, ubabe wa polisi
ASKARI polisi Kituo cha Msimbazi, Wilaya ya Kipolisi Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameingia katika tuhuma za kumkamata, kumpiga na kisha kumvunja mikono yote Kulwa Kitange (40), mkazi wa Kigamboni,...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Tunalaani unyama huu wa Polisi
JESHI la Polisi, juzi lilifanya kile kinachoweza kuitwa kuwa ni unyama na ukatili uliopitiliza dhidi ya waandishi wa habari na watu walioamua kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Unyama huu wa manispaa ukmeshwe
MARA nyingi katika safu hii na katika mikutano mbalimbali nimeelezea hali ya kusikitisha na kukirihisha ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika sehemu nyingi Zanzibar. Siku za nyuma wengi waliohusika na...