Unyama huu wa manispaa ukmeshwe
MARA nyingi katika safu hii na katika mikutano mbalimbali nimeelezea hali ya kusikitisha na kukirihisha ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika sehemu nyingi Zanzibar. Siku za nyuma wengi waliohusika na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6daaeMdcFZ4iUF80QNb6DyvrVuKywhjEdkTNfhPNpBxj5SX0NAyfknuJZhadYdo20bdckMKBL6o-pcrLFLwqrbyA/unyama.jpg?width=600)
HUU SASA NI ZAIDI YA UNYAMA!
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Tunalaani unyama huu wa Polisi
JESHI la Polisi, juzi lilifanya kile kinachoweza kuitwa kuwa ni unyama na ukatili uliopitiliza dhidi ya waandishi wa habari na watu walioamua kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBySt9by8MA5W31eC5aIDzN6QQOytBe0Y0vTeQYF9wJVuwVF-OtwhCTSvBNSvLP6-nHFoKrKBUQwqHOuUjXPHTtD/frontj.jpg)
UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHAMASHAUZI UKWELI NI HUU
10 years ago
Vijimambo31 Jan
UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHA MASHAUZI UKWELI NI HUU
![](http://api.ning.com/files/yKWLMefqYBy8wstcdaskcA5v-1jy90*z4WijlI3YQTpZpnGp7i7j*kyXNp7ljtotalZD3aO2YI4TDXqCDdGaewGLDpX0Ihel/ee.jpg)
HATIMAYE ukweli wa kutekwa, kuteswa kwa kudhalilishwa kwa aliyekuwa mume wa mwimba taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’, umejulikana, Risasi Jumamosi limechimba.Januari 28, mwaka huu, picha za Tevez akiwa ametoka kuteswa kwa kudhalilishwa zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii huku wengine wakidai kisa ni kukutwa na mke wa mtu, wengine...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oMMRDz9hqvWUGz*XAqm5otWxhmlER2nZSaK4GFDPk7TrcoQt5RbmMqxo0GUa6HouKzu0QLm65JKU6R6vY7T4dB5/unyama.jpg)
UNYAMA ULIOJE!
10 years ago
Vijimambo12 Oct
Unyama Dar
Mwanafunzi wa shule ya msingi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka saba, ameuawa kikatili baada ya kubakwa, kuchinjwa na kunyofolewa sehemu zake za siri.
Mwanafunzi huyo wa darasa la kwanza (jina linahifadhiwa), mwili wake ulikutwa umetupwa kwenye shamba karibu na nyumbani kwao jana maeneo ya Mbezi Temboni, kata ya Saranga.
Akisimulia tukio hilo, mama wa mtoto huyo (jina linahifadhiwa), alisema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Majambazi wafanya unyama
WATU wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wameteka magari mawili ya mafuta na kuwadhuru watu waliokuwamo kwa kuwakata mapanga na wengine kudaiwa kukatwa masikio. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Unyama, ubabe wa polisi
ASKARI polisi Kituo cha Msimbazi, Wilaya ya Kipolisi Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameingia katika tuhuma za kumkamata, kumpiga na kisha kumvunja mikono yote Kulwa Kitange (40), mkazi wa Kigamboni,...