Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHAMASHAUZI UKWELI NI HUU

Stori: Musa Mateja/Risasi HATIMAYE ukweli wa kutekwa, kuteswa kwa kudhalilishwa kwa aliyekuwa mume wa mwimba  taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’, umejulikana, Risasi Jumamosi limechimba. Mfanyabiashara, Jumanne Hassan ‘Tevez’ akiwa amefungwa kamba na watesi wake. Januari 28, mwaka huu, picha za Tevez akiwa ametoka kuteswa kwa kudhalilishwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHA MASHAUZI UKWELI NI HUU

Mfanyabiashara, Jumanne Hassan ‘Tevez’ akiwa amefungwa kamba na watesi wake.Stori: Musa Mateja GPL/Risasi
HATIMAYE ukweli wa kutekwa, kuteswa kwa kudhalilishwa kwa aliyekuwa mume wa mwimba taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’, umejulikana, Risasi Jumamosi limechimba.Januari 28, mwaka huu, picha za Tevez akiwa ametoka kuteswa kwa kudhalilishwa zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii huku wengine wakidai kisa ni kukutwa na mke wa mtu, wengine...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunalaani unyama huu wa Polisi

JESHI la Polisi, juzi lilifanya kile kinachoweza kuitwa kuwa ni unyama na ukatili uliopitiliza dhidi ya waandishi wa habari na watu walioamua kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unyama huu wa manispaa ukmeshwe

MARA nyingi katika safu hii na katika mikutano mbalimbali nimeelezea hali ya kusikitisha na kukirihisha ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika sehemu nyingi Zanzibar. Siku za nyuma wengi waliohusika na...

 

11 years ago

GPL

HUU SASA NI ZAIDI YA UNYAMA!

Stori: Deogratius Mongela
Huu ni zaidi ya unyama! Mama ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi huko Tandika, Dar, almaarufu kwa jina la Mama Kumburu, anatuhumiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia wa mtoto wa miaka 10 kisha kutiwa mbaroni. OFM yamuokoa mtoto wa huyu. Baada ya kupata malalamiko ya raia kuwa kuna mtoto anatumikishwa kazi za mtu mzima, hivi karibuni Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) iliingia mzigoni na kwenda kumwokoa...

 

9 years ago

Vijimambo

Ahadi ya zahanati za Magufuli ukweli huu.

Ni wakati wa kampeni na ni wakati wa kila mgombea kutoa ahadi kwa wapigakura kuhusu mambo atakayoyapa kipaumbele katika miaka mitano endapo atapata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano,...

 

11 years ago

GPL

HUU NDO UKWELI KUHUSU USAJILI WA OKWI

Hati ya Usajili wa Emmanuel Okwi kama inavyoeneka kwneye system ya CAF. Uongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia kuichezea Young Africana mpaka watakapopata uthibitisho kutoka FIFA. Young Africans ilikamlisha usajili wa mshambuliaji huyo tangu Disemba 15 mwaka...

 

9 years ago

Vijimambo

Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.

Ahadi aliyoitoa mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), ya kutoa elimu ya Chuo Kikuu bure inaweza kugharimu Taifa kiasi cha Sh. trilioni 1.35($675millioni) kwa mwaka, Nipashe limebaini.

Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.

Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...

 

9 years ago

Bongo5

Kundi la Mafikizolo kuvunjika? Huu ndio ukweli

Muimbaji wa kiume wa kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini, Theo Kgosinkwe ameamua kuzielezea tetesi kuwa kundi hilo lipo mbioni kuvunjika. Nhlanhla Nciza na Theo Kgosinkwe wanaounda kundi la Mafikizolo Tetesi hizo zilianza baada ya muimbaji wa kike wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kuanzisha kampuni yake fashion na Theo kudai kuwa anaanzisha lebo yake […]

 

10 years ago

GPL

KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU

Na waandishi Wetu NIkweli, ukweli ni huu! Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na kupewa fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho, ukweli wa jambo hilo umeibuliwa, Uwazi linakupa zaidi. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1N6u2sS...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani