Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUU NDO UKWELI KUHUSU USAJILI WA OKWI

Hati ya Usajili wa Emmanuel Okwi kama inavyoeneka kwneye system ya CAF. Uongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia kuichezea Young Africana mpaka watakapopata uthibitisho kutoka FIFA. Young Africans ilikamlisha usajili wa mshambuliaji huyo tangu Disemba 15 mwaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

10 years ago

Vijimambo

Huu ndo ushauri aliopewa mkubwa Fella kuhusu kuwalinda yamoto band na wamama wa mjini.

kazi nzuri sana Mkubwa Felaaaa, ila muombe Mungu sana hawa watoto wasihadaike na mashangingi ya mjnii maana watakumalizia watoto, wamama wakianza yao tu, utaona vijana wako wamebadilika mara viburi, kuchelewa kazini, nk, omba sana ndugu maana nimeshasikia mdada mmoja kajivutia wake watuu wabayaaa jamani daah, ngoja tuendelee kufanya uchunguzi tuje na data kamili maana huwa hatutoi habari za uzushi, ila kama ni kweli wewe dada msanii unafanya hivyo acha, muachie mtoto wa watu jamaniii khaa si...

 

10 years ago

GPL

KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU

Na waandishi Wetu NIkweli, ukweli ni huu! Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na kupewa fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho, ukweli wa jambo hilo umeibuliwa, Uwazi linakupa zaidi. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1N6u2sS...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Ukweli Kuhusu Wema na Ommy Huu Hapa!

Hatimaye imekuwa dhahili  kuwa mwanamziki Ommy Dimpoz ambae anajiita ‘Baba Wanjera’ na mwigizaji Wema Sepetu ambae ameitwa  kama Wanjera  walikuwa wakifanya kazi na sio malavidavi kama ilivyokuwa ikidhaniwa  siku za hivi karibuni kutokana ukaribu waliokuwa nao.

Leo saa 4 asubuhi ngoma ya Ommy inayokwenda kwa jina la Wanjera  itaruka hewani  kwenye TV na redio zote ndani na nje ya nchi.

Jionee baadhi ya picha zitakazo onekana kwenye ngoma hiyo.

Mzee wa...

 

11 years ago

Bongo5

Huu ndio ukweli kuhusu picha za Dayna na Nando zilizozua maswali mengi, kama ni mapenzi au kazi!

Hatimaye jibu la maswali yaliyojitokeza zaidi ya mwezi mmoja uliopita baada ya picha za Dayna na Nando wakiwa katika hali iliyoashiria kuna kitu zaidi ya urafiki baina yao, limepatikana. Ijumaa hii (August 1) Dayna anaachia video ya single yake mpya ‘I DO’ ambayo mshiriki wa Big Brother 2014 Ammy Nando amecheza kama mpenzi wa Dayna […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …

Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]

The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...

 

11 years ago

GPL

TAARIFA ZA OKWI, YONDANI, CHUJI HAZINA UKWELI

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Uongozi wa klabu ya Young Africans unasikitishwa na taarifa zinazotolewa na baadhi ya Vyombo Vya Habari tangu siku ya jumatano kwamba wachezaji Juma Kaseja, Kelvin Yondani, Athuman Idd "Chuji" wamefukuzwa kwenye timu na Emmanuel Okwi ameondoka kurejea kwao nchini Uganda ni za uongo mtupu. Athuman Idd…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani