Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la Mafikizolo kuvunjika? Huu ndio ukweli

Muimbaji wa kiume wa kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini, Theo Kgosinkwe ameamua kuzielezea tetesi kuwa kundi hilo lipo mbioni kuvunjika. Nhlanhla Nciza na Theo Kgosinkwe wanaounda kundi la Mafikizolo Tetesi hizo zilianza baada ya muimbaji wa kike wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kuanzisha kampuni yake fashion na Theo kudai kuwa anaanzisha lebo yake […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Huu ndio ukweli kuhusu picha za Dayna na Nando zilizozua maswali mengi, kama ni mapenzi au kazi!

Hatimaye jibu la maswali yaliyojitokeza zaidi ya mwezi mmoja uliopita baada ya picha za Dayna na Nando wakiwa katika hali iliyoashiria kuna kitu zaidi ya urafiki baina yao, limepatikana. Ijumaa hii (August 1) Dayna anaachia video ya single yake mpya ‘I DO’ ambayo mshiriki wa Big Brother 2014 Ammy Nando amecheza kama mpenzi wa Dayna […]

 

10 years ago

Bongo5

Kundi la P-Unit ladaiwa kuvunjika, members wake waanza kufanya project binafsi

Kundi la muziki P-Unit kutoka Kenya ladaiwa kusambaratika ikiwa ni miaka saba toka waungane. Kwa mujibu wa Standard Digital, members wa kundi hilo lililozaliwa mwaka 2007, kila mmoja ameanza kufanya solo project. Frasha anatarajiwa kuzindua project yake binafsi Ijumaa hii, huku Gabu na Bon Eye wakifuata mkondo huo pia. P-Unit ambao ni washindi wa tuzo […]

 

9 years ago

MillardAyo

Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa

Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]

The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...

 

9 years ago

Vijimambo

Ahadi ya zahanati za Magufuli ukweli huu.

Ni wakati wa kampeni na ni wakati wa kila mgombea kutoa ahadi kwa wapigakura kuhusu mambo atakayoyapa kipaumbele katika miaka mitano endapo atapata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano,...

 

10 years ago

GPL

KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU

Na waandishi Wetu NIkweli, ukweli ni huu! Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na kupewa fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho, ukweli wa jambo hilo umeibuliwa, Uwazi linakupa zaidi. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1N6u2sS...

 

10 years ago

GPL

UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHAMASHAUZI UKWELI NI HUU

Stori: Musa Mateja/Risasi HATIMAYE ukweli wa kutekwa, kuteswa kwa kudhalilishwa kwa aliyekuwa mume wa mwimba  taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’, umejulikana, Risasi Jumamosi limechimba. Mfanyabiashara, Jumanne Hassan ‘Tevez’ akiwa amefungwa kamba na watesi wake. Januari 28, mwaka huu, picha za Tevez akiwa ametoka kuteswa kwa kudhalilishwa...

 

11 years ago

GPL

HUU NDO UKWELI KUHUSU USAJILI WA OKWI

Hati ya Usajili wa Emmanuel Okwi kama inavyoeneka kwneye system ya CAF. Uongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia kuichezea Young Africana mpaka watakapopata uthibitisho kutoka FIFA. Young Africans ilikamlisha usajili wa mshambuliaji huyo tangu Disemba 15 mwaka...

 

9 years ago

Vijimambo

Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.

Ahadi aliyoitoa mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), ya kutoa elimu ya Chuo Kikuu bure inaweza kugharimu Taifa kiasi cha Sh. trilioni 1.35($675millioni) kwa mwaka, Nipashe limebaini.

Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.

Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani