Kundi la Mafikizolo kuvunjika? Huu ndio ukweli
Muimbaji wa kiume wa kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini, Theo Kgosinkwe ameamua kuzielezea tetesi kuwa kundi hilo lipo mbioni kuvunjika. Nhlanhla Nciza na Theo Kgosinkwe wanaounda kundi la Mafikizolo Tetesi hizo zilianza baada ya muimbaji wa kike wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kuanzisha kampuni yake fashion na Theo kudai kuwa anaanzisha lebo yake […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo530 Jul
Huu ndio ukweli kuhusu picha za Dayna na Nando zilizozua maswali mengi, kama ni mapenzi au kazi!
10 years ago
Bongo522 Jan
Kundi la P-Unit ladaiwa kuvunjika, members wake waanza kufanya project binafsi
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa
Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]
The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Ahadi ya zahanati za Magufuli ukweli huu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/John-16Sept2015.png)
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5VVevXxNQPEKUVlwGHOEjSkwhhEXbkelRU*emEJuoOvg9L*vOsbw*zaqb7a*ZMP4zTkdg3Y9KsVXah2q70tcuNf/DrSlaa.gif?width=650)
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBySt9by8MA5W31eC5aIDzN6QQOytBe0Y0vTeQYF9wJVuwVF-OtwhCTSvBNSvLP6-nHFoKrKBUQwqHOuUjXPHTtD/frontj.jpg)
UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHAMASHAUZI UKWELI NI HUU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsEMP54ZXnP8xIMUjh9VPQb2ZS*y2f9EgGWUcaF3EpzNCf1xBEq5mEeoQUIEuvvCwG0JypPpNZ47Rmle5r3bCb0Z/itcOKWI.jpg)
HUU NDO UKWELI KUHUSU USAJILI WA OKWI
9 years ago
Vijimambo15 Sep
Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Edo-15Sept2015.png)
Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.
Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...