UKATILI ULIOJE! SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGSkQ2O-ExJOeL8QIkHnagD6uLLblvIodQTl88kIp3E3ZmUj7xmYdMEtDI2zjwhA1WddCQzLWBZIlcDd4RlUzZD/Moto.jpg?width=650)
Niukatili ulioje ambao amefanyiwa mtoto Dorine (12), denti wa darasa la nne Shule ya Msingi Makabe, Mbezi jijini Dar.Dorine anadaiwa kuunguzwa na maji ya moto yaliyochemshwa kwenye jiko la gesi na walezi wake wa karibu akiwemo shangazi yake aliyetajwa kwa jina moja la Scola ambaye alitiwa mbaroni na bibi yake ambaye haikujikana alipo. Â Dorine akiwa hospitali baada ya kuchomwa mikono na shangazi yake. Katika tukio hilo la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OUfuv8FZxJzOkmxjiBdPv*W62LMhgYv7SxNsajmrqh-VIWnPkYGO*y0bExeJ6znv7P4*frna81Fom7mRCa6HdK/sfsadat.jpg?width=650)
UKATILI ULIOJE! WAZAZI WAMPIGA, WAMFUNGA KAMBA MTOTO WAO, WAMFUNGIA NDANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkqyNVqRkY42LxCutnlBjrfJ4Qmx97pC8H1lWGxgbyKe5X1l-tFQCNYBh37cRrlLCtnUpmJBkr79bjcQotjPw3y/Ukatilil.gif?width=650)
UKATILI ULIOJE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzn-DH2nQPaIdK0WueH*naI6l3MZXlcgsY170fuLkIiwZLwYwci*RN*HPdaHw1dVz*EW2m4phXGoKIoeCWr5viH6/mtoto.jpg?width=650)
MAMA AMCHOMA MOTO MTOTO MIAKA 7
9 years ago
Habarileo14 Dec
Amchoma mtoto kwa kutoanika shuka alizokojolea
LICHA ya Serikali kukemea vitendo vya kikatili dhidi ya watoto wadogo, mama mmoja wilayani Igunga mkoani Tabora, Kulwa Shasumuni amemchoma moto mwanawe Hassani Faustino (9) kwenye mkono wa kushoto kwa kile alichodai ameshindwa kuanika shuka zake alizokojolea kitandani.
11 years ago
Habarileo24 May
Anaswa akibanika mikono ya mtoto
WAKATI jamii ya Watanzania ikipigwa butwaa na ukatili wa kutisha aliofanyiwa mtoto wa miaka minne kwa kufungiwa ndani ya boksi kwa miaka mitatu mjini Morogoro, ukatili mwingine wa kutisha dhidi ya watoto umeripotiwa mkoani Kagera. Katika mkoa huo, mganga wa kienyeji ametiwa mbaroni, akituhumiwa kumuua kwa kumnyonga, kumkata mikono na kumzika katika nyumba yake.
10 years ago
Michuzi26 Nov
MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE HUKO INDIA
![](https://3.bp.blogspot.com/-UC_J2-xfUp8/VHSl1dShAFI/AAAAAAAAw24/hxv1KA7zpEc/s640/god-boy.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mtoto afanyiwa ukatili wa kutisha
9 years ago
StarTV16 Dec
Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu
Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.
Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.
Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...
11 years ago
Mwananchi25 Jun
UKATILI: Mtoto aokolewa kwenye mateso