UKATILI: Mtoto aokolewa kwenye mateso
>Matukio ya ukatili yameendelea kuibuka nchini baada ya kugundulika kwa mtoto mwenye umri wa miaka sita katika Kijiji cha Bwizanduru Kata ya Maruku Wilaya ya Bukoba Vijijini akiwa amefungiwa ndani kwa miezi saba huku makalio yake yakiwa yamechanika kutokana na adhabu ya viboko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbacqOBsoHOqKPMLN1a3O2IdbB7YwHsS0tkOUwJiouRhYzdr8F2a0TJJchl7gDR3AHowuvcqB7FQmRHYeAYQpzPpH/SOPHIA.jpg?width=650)
USIFURAHIE MATESO YA MTOTO WA MWENZAKO
11 years ago
Habarileo24 May
Baba wa 'Mtoto wa Boksi’ aguswa mateso ya bintiye
BABA mzazi wa mtoto wa miaka minne, aliyedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu kwa kufungiwa ndani ya boksi tangu akiwa na umri miezi tisa, Rashid Mvungi hatimaye amepatikana na kusema kuwa mtoto huyo ni damu yake na kwamba yuko tayari kumlea katika hali yoyote. Mvungi alisema hayo jana, ambapo alisema tukio la mtoto wake kuishi ndani ya boksi, limemtia simanzi kubwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-2NuhU0L6FUhTrjGugFc*PaN0AvjAvvbBLphxfYeoXzBsmm95eCB*MiK-rZV-Shbu9N3h73iwKPP2rxJlxBnXe/MTOTO...jpg)
KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Ni saa ngapi zimebakia kwenye mateso ya nishati?
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mtoto afanyiwa ukatili wa kutisha
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wanaharakati walaani mtoto kufanyiwa ukatili
TAASISI zinazojihusisha na utetezi wa haki za binadamu, wanawake na watoto, zimelaani kitendo cha walezi wa mtoto Nasra Rashid (4) kumficha katika boksi tangu akiwa na miezi tisa hadi sasa...
11 years ago
Mwananchi14 Jun
UKATILI: Mtoto ateswa miaka miwili
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGSkQ2O-ExJOeL8QIkHnagD6uLLblvIodQTl88kIp3E3ZmUj7xmYdMEtDI2zjwhA1WddCQzLWBZIlcDd4RlUzZD/Moto.jpg?width=650)
UKATILI ULIOJE! SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO WAKE
11 years ago
Mwananchi12 Jul
UKATILI: Mtoto afichwa uvunguni kwa miaka 6 Morogoro