KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11
![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-2NuhU0L6FUhTrjGugFc*PaN0AvjAvvbBLphxfYeoXzBsmm95eCB*MiK-rZV-Shbu9N3h73iwKPP2rxJlxBnXe/MTOTO...jpg)
Stori: makongoro oging’ “MAISHA yangu tangu tuoane na mume wangu yalikuwa mazuri tena yenye mapenzi ndani ya nyumba lakini tatizo limekuja kujitokeza pale nilipomzaa mtoto huyu Maimuna. Mtoto Maimuna aliyezaliwa miaka 11 iliyopita katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga akiwa na matatizo ya kichwa kujaa maji. “Sikumuona tena mume wangu au kujua alikoelekea, sipati hata salamu kwa simu, barua hata kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnV5uSvU5PzrcXqmcagXSe9xMTxb7HHyISeoNQIs0DGg768X2ki*VpMy4Wd4xUIVnwHSjRTa2iWuFxgYpA-Hb2Ww/watoto.jpg)
KAMA WEWE UMEJIFUNGUA SALAMA, MTOTO WAKO NI MZIMA MSHUKURU MUNGU
10 years ago
Vijimambo24 Jan
HUYU NDIO MWANAFUNZI MZEE ZAIDI DUNIANI ANAYESOMA SHULE YA MSINGI, ANA MIAKA 90
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/23/150123014307_gogo_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake.Prissilla alijiunga na shule hii ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwo4eeO5kX-oSQJesEaHf0I1WvyFl7DufXkUa5df6RFIkkjhPAlvvu65085YNrsJLNTvn9v8NfCyLjCESlNyv714/Ajali.jpg)
MJANE: UKIPATA AJALI UKATOKA SALAMA MSHUKURU MUNGU!
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA
10 years ago
Habarileo23 Oct
'Mtoto wa miaka 10 ana mtoto'
WIMBI la watoto wenye umri chini ya miaka 18 kupata ujauzito limetajwa kuhatarisha uhai wa mama na mtoto wakati wa kujifungua suala ambalo serikali na wadau wengine wameomba kuendelea kuelimisha jamii kudhibiti mimba za utotoni.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TajeENRkBu4/VH5r8NF3k9I/AAAAAAADPSE/33rWNo_Sh2s/s72-c/MTOTO%2BKANSA.jpg)
KAMA UNAWEZA KUMSAIDIA HUYU MTOTO TAFADHALI SAIDIA UPUNGUZE MAUMIVU YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-TajeENRkBu4/VH5r8NF3k9I/AAAAAAADPSE/33rWNo_Sh2s/s1600/MTOTO%2BKANSA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XvZr7l3YfVQ/VH5r632nCUI/AAAAAAADPRo/OUQMutXeqcw/s1600/MTOTO%2BKANSA%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jgl7O_WH9s4/VH5r610DKPI/AAAAAAADPRs/oT2uHT070p0/s1600/MTOTO%2BKANSA%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CEJtkF5lQ_Y/VH5r7EoyXGI/AAAAAAADPRw/xh5OcYM18kc/s1600/MTOTO%2BKANSA%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqdzwM4uXcw/VH5r8HhqFbI/AAAAAAADPSA/-ucdomZjQZY/s1600/MTOTO%2BKANSA%2B4.jpg)
Stori: Makongoro Oging’
“Hali niliyonayo kiafya kwa sasa ni ya kutia mashaka, sina muda mrefu kuendelea kuishi hapa duniani, nikifikiria ninavyoteseka ndani ya familia yangu nikichanganya na maumivu ya ugonjwa usiopata matibabu, naamini bila msaada wenu nitafariki dunia.”
Hivyo ndivyo alivyoanza kusimulia...
11 years ago
CloudsFM16 Jul
HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA MIAKA SITA
SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo.
Mashuhuda waliokuwepo wakati wa kufichuliwa kwa mtoto huyo, wakiwemo majirani na wapangaji wa nyumba aliyokuwa akiishi, walisema mpangaji wa chumba hicho, Masumbuko Mkwama (25),...
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqLutU80-ot6p5KLsmQpfVOEhGt9or6PTPxglOvyw66D2oc*43YlqMT7smlJ1OeQ7D0CsYcSxFsyFTrawq2TMNp/mateso.jpg)
JAMANI! 'MATESO YANGU ANAYAJUA MUNGU’