Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMA UNAWEZA KUMSAIDIA HUYU MTOTO TAFADHALI SAIDIA UPUNGUZE MAUMIVU YAKE

Hajira Twalib Mdoka akiwa mwenye maumivu makali baada ya kuugua ugonjwa wa kansa.Hajira Twalib akiwa amelala kitandaniAkinyweshwa soda na babu yake Akibebwa na Babu yakeHajiraakiwa mtoto.
Stori: Makongoro Oging’
“Hali niliyonayo kiafya kwa sasa ni ya kutia mashaka, sina muda mrefu kuendelea kuishi hapa duniani, nikifikiria ninavyoteseka ndani ya familia yangu nikichanganya na maumivu ya ugonjwa usiopata matibabu, naamini bila msaada wenu nitafariki dunia.”

Hivyo ndivyo alivyoanza kusimulia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11

Stori: makongoro oging’
“MAISHA yangu tangu tuoane na mume wangu yalikuwa mazuri tena yenye mapenzi ndani ya nyumba lakini tatizo limekuja kujitokeza pale nilipomzaa mtoto huyu Maimuna. Mtoto Maimuna aliyezaliwa miaka 11 iliyopita katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga akiwa na matatizo ya kichwa kujaa maji. “Sikumuona tena mume wangu au kujua alikoelekea, sipati hata salamu kwa simu, barua hata kwa...

 

11 years ago

CloudsFM

HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFUNGIWA NDANI YA BOKSI KWA MIAKA MINNE NA MAMA YAKE MLEZI ILI ASIMWAMBUKIZE VIRUSI VYA UKIMWI

Mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa), amedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu, kwa kufungiwa ndani ya boksi kama mnyama, ili asimuambukize mama mlezi virusi vinavyosababisha Ukimwi.

Unyama huo wa kusikitisha, umefanyika muda wote huo kwa mtoto huyo Morogoro mjini katika mtaa wa Azimio bila kuripotiwa popote, huku wakazi na majirani wa nyumba hiyo wakisikia akikohoa na kulia usiku, na baba yake mzazi akiendelea na maisha kwa kumuogopa mkewe.
Wakizungumza na...

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA CHRISTIANO RONALDO AONYESHA KIWANGO KWA KUUCHEZEA MPIRA KAMA BABA YAKE

Cristiano Jnr akionyesha uwezo wa kuuchezea mpira akiwa ufukweni katika Visiwa vya Bahamas. ...Dogo huyo akizidi kuonyesha makali yake. Zaidi, ingia hapa:==>> …

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto

Mimi ni mwanaume wa miaka 62 ni mmoja wa waathirika wa tatizo la ugumba, kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaikia bila mafanikio kutatua tatizo hili.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NA PARTY YA UHURU WASHINGTON DC...KAMA HUJANUNUA TICKET TAFADHALI WAHI NAFASI ZIKIJAA TU BASI TENA.

    
TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU 
$100 (INCLUSIVE)3 COURSE  DINNERBOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLELIVE ENTERTAINMENTCELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGERE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER FREE PARKINGCASH BARSPONSORSHIP  LEVELS STILL AVAILABLE TICKET ZINAPATIKANASAFARI RESTAURANT4306 GEORGIA AVENUE,NWWASHINGTON,DC,20011ORONLINEWWW.DIAMONDUSATOUR.COMORCALL   301-661-6207 *DMK GLOBAL   240-603-7353*LATIFA MZESE     240-764-9970*JULIA NYERERE        202-830-8970*ATHUMANI...

 

9 years ago

Mwananchi

Mfuko wa kumsaidia mke, mtoto wa Mawazo kuanzishwa

Mwili wa aliyekuwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo (Savimbi) umezikwa leo saa tisa alasiri kijijini kwao Chikobe Jimbo la Busanda mkoani Geita nyumbani kwa mjomba wake, huku simanzi, vilio na majonzi vikitawala.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA NA ACCOUNT YA KUMSAIDIA MTOTO GRACE

Geraldine Ngowi na Grace Michael Mlingi wa Silver Spring MD ,wanasikitika kutangaza kifo cha baba mzazi wa Grace Mlingi MICHAEL NDASKOI MLINGI kilichotokea Leo jumapili Dar es Salam Tanzania.Msiba utakuwepo nyumbani kwao white oak,MD.
Adress :11620 Stewart lane apt.404
Silver Spring MD 20904
For additional information you can call telephone nos.202 531 2254 or 240 429 1749 na kuongea na mama au mwana.Mipango ya Kwenda nyumbani inafanyika as soon as possible. Pia unaweza kutoa rambirambi zako...

 

10 years ago

Habarileo

Atupwa jela miaka 30 kwa kumsaidia mtoto kubaka

MAMA aliyemsaidia mwanawe kubaka , Regina Kigelulye, ametupwa jela miaka 30 sawa na mtoto wake ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kubaka, Sagimembe Mroso.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani