Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto

Mimi ni mwanaume wa miaka 62 ni mmoja wa waathirika wa tatizo la ugumba, kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaikia bila mafanikio kutatua tatizo hili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mfuko wa kumsaidia mke, mtoto wa Mawazo kuanzishwa

Mwili wa aliyekuwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo (Savimbi) umezikwa leo saa tisa alasiri kijijini kwao Chikobe Jimbo la Busanda mkoani Geita nyumbani kwa mjomba wake, huku simanzi, vilio na majonzi vikitawala.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA NA ACCOUNT YA KUMSAIDIA MTOTO GRACE

Geraldine Ngowi na Grace Michael Mlingi wa Silver Spring MD ,wanasikitika kutangaza kifo cha baba mzazi wa Grace Mlingi MICHAEL NDASKOI MLINGI kilichotokea Leo jumapili Dar es Salam Tanzania.Msiba utakuwepo nyumbani kwao white oak,MD.
Adress :11620 Stewart lane apt.404
Silver Spring MD 20904
For additional information you can call telephone nos.202 531 2254 or 240 429 1749 na kuongea na mama au mwana.Mipango ya Kwenda nyumbani inafanyika as soon as possible. Pia unaweza kutoa rambirambi zako...

 

10 years ago

Habarileo

Atupwa jela miaka 30 kwa kumsaidia mtoto kubaka

MAMA aliyemsaidia mwanawe kubaka , Regina Kigelulye, ametupwa jela miaka 30 sawa na mtoto wake ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kubaka, Sagimembe Mroso.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA UNAWEZA KUMSAIDIA HUYU MTOTO TAFADHALI SAIDIA UPUNGUZE MAUMIVU YAKE

Hajira Twalib Mdoka akiwa mwenye maumivu makali baada ya kuugua ugonjwa wa kansa.Hajira Twalib akiwa amelala kitandaniAkinyweshwa soda na babu yake Akibebwa na Babu yakeHajiraakiwa mtoto.
Stori: Makongoro Oging’
“Hali niliyonayo kiafya kwa sasa ni ya kutia mashaka, sina muda mrefu kuendelea kuishi hapa duniani, nikifikiria ninavyoteseka ndani ya familia yangu nikichanganya na maumivu ya ugonjwa usiopata matibabu, naamini bila msaada wenu nitafariki dunia.”

Hivyo ndivyo alivyoanza kusimulia...

 

9 years ago

Mwananchi

9 years ago

Mwananchi

Namna ya kupata alama ya ubora wa kimataifa

Katika uzalishaji wa bidhaa, viwango vya bidhaa ni kitu cha muhimu. Alama ya ubora ya kimataifa hutolewa na Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), ambalo lina wanachama zaidi ya nchi 160 duniani.

 

10 years ago

Mtanzania

Vanessa Mdee: Wasanii hawajui namna ya kupata fedha mtandaoni

Na Festo Polea
WAKATI wimbo wa ‘Hawajui’ wa msanii, Vanessa Hau Mdee ‘Vee Money’, ukiongoza katika chati za ubora za vituo mbalimbali vya redio na runinga za nchini Nigeria, msanii huyo amesema wasanii wengi hawajui namna ya kutumia mitandao ya kijamii kuuza kazi zao.
Vanessa alieleza hayo jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, Rai na The African, akiwa katika harakati za kutangaza wimbo wake mpya wa ‘No body but Me’...

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA & UTAFITI: Namna ya kupata ufadhili wa masomo au miradi

>Hongera ndugu yangu kwa kufika mwaka mpya wa 2014, ni suala la kumshukuru Mungu maana kuna wenzetu wengi ambao walikuwa na shauku ya kuingia mwaka huu lakini wameshindwa, wengine wamepatwa na mikasa mizito iliyoharibu kabisa ndoto zao.

 

10 years ago

Michuzi

NAMNA YA KUPATA TIN NAMBA YA KAMPUNI,NGOs NA VIKUNDI/SACCOS

Na  Bashir  Yakub. 
Nilipoandika  kuhusu  namna  ya  kuunda kampuni  kwa  mujibu  wa  Sheria ya  Makampuni  sura ya 212 nilieleza  pia   kuwa   unapokuwa  umekamilisha  usajili  wa  kampuni     na  umepata  cheti  cha  usajili   yapo  mambo  mengine  ya  kufanya  kabla  ya  kuanza  rasmi  biashara. 
Moja  ya  mambo  hayo  nilisema   ukishapata  cheti unatakiwa  uende  manispaa  husika  ukapate  leseni  ya  biashara. Manispaa husika  ni  manispaa  ambako  ofisi  ya  kampuni  yako  itakuwa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani