Namna ya kupata alama ya ubora wa kimataifa
Katika uzalishaji wa bidhaa, viwango vya bidhaa ni kitu cha muhimu. Alama ya ubora ya kimataifa hutolewa na Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), ambalo lina wanachama zaidi ya nchi 160 duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Nov
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto
9 years ago
Habarileo25 Sep
‘Sampuli zina ubora wa kimataifa’
TAASISI ya Twaweza imesema inaziamini kwa asilimia 95 sampuli zilizotumika kukusanya taarifa ya utafiti kuhusu ‘Sauti za Wananchi’ kwenye siasa na kusisitiza kuwa sampuli hizo zina ubora wa kimataifa.
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TCRA yapata ubora wa kimataifa
NA RACHEL KYALA
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imepata cheti cha kiwango cha ubora kutoka Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), kutokana na kukidhi vigezo vya utoaji huduma kwa jamii.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa cheti hicho, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Profesa John Nkoma, alisema mamlaka hiyo imepata cheti hicho kutokana na utendaji kazi wake katika kudhibiti sekta ya mawasiliano ikiwemo kujulikana kimataifa.
“Tulikwenda shule chini ya Shirika la Viwango Nchini (TBS),...
10 years ago
Habarileo10 Dec
Maabara Muhimbili yapata ubora wa kimataifa
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kupitia kitengo cha maabara imepokea cheti cha kimataifa cha ithibati kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Viwango (ISO) baada ya kuonekana kutoa huduma bora za kitabibu.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
SAIKOLOJIA & UTAFITI: Namna ya kupata ufadhili wa masomo au miradi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tv-ATKUmjZU/VcEswWql3KI/AAAAAAAHuP4/40YDVy1kkgo/s72-c/TIN.jpg)
NAMNA YA KUPATA TIN NAMBA YA KAMPUNI,NGOs NA VIKUNDI/SACCOS
![](http://2.bp.blogspot.com/-tv-ATKUmjZU/VcEswWql3KI/AAAAAAAHuP4/40YDVy1kkgo/s640/TIN.jpg)
Nilipoandika kuhusu namna ya kuunda kampuni kwa mujibu wa Sheria ya Makampuni sura ya 212 nilieleza pia kuwa unapokuwa umekamilisha usajili wa kampuni na umepata cheti cha usajili yapo mambo mengine ya kufanya kabla ya kuanza rasmi biashara.
Moja ya mambo hayo nilisema ukishapata cheti unatakiwa uende manispaa husika ukapate leseni ya biashara. Manispaa husika ni manispaa ambako ofisi ya kampuni yako itakuwa....
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Vanessa Mdee: Wasanii hawajui namna ya kupata fedha mtandaoni
Na Festo Polea
WAKATI wimbo wa ‘Hawajui’ wa msanii, Vanessa Hau Mdee ‘Vee Money’, ukiongoza katika chati za ubora za vituo mbalimbali vya redio na runinga za nchini Nigeria, msanii huyo amesema wasanii wengi hawajui namna ya kutumia mitandao ya kijamii kuuza kazi zao.
Vanessa alieleza hayo jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, Rai na The African, akiwa katika harakati za kutangaza wimbo wake mpya wa ‘No body but Me’...