UKATILI ULIOJE! WAZAZI WAMPIGA, WAMFUNGA KAMBA MTOTO WAO, WAMFUNGIA NDANI
Na Dustan Shekidele Katika hali inayoonyesha ukatili wa ajabu, mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Asha Mohamed, akishirikiana na mumewe, walimfunga kamba miguu na mikono mwanaye wa kumzaa Salum Mohamed (9) na kumfungia ndani ya nyumba yake huku wenyewe wakienda kusikojulikana muda mrefu Jumatatu iliyopita huko Mkundi, nje kidogo ya mji wa Morogoro. Polisi wakimfungua kamba mtoto huyo alizokua amefungwa na wazazi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLUKATILI ULIOJE! SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO WAKE
9 years ago
Habarileo16 Dec
Mchungaji, mkewe wamfungia ndani mtoto kwa miaka 12
POLISI mkoani Singida inamshikilia Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste Itaja na mkewe kwa tuhuma za kumfungia ndani ya chumba mtoto wao mlemavu wa viungo kwa miaka 12 bila kutoka nje.
10 years ago
GPLUKATILI ULIOJE!
11 years ago
GPLWAZAZI WASUSA MAITI YA MTOTO WAO
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Wazazi wapanda jukwaani kumpigia debe mtoto wao
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Wazazi wamfunga mnyororo kijana kwa miaka mitatu
5 years ago
BBCSwahili19 May
Wazazi wampata mtoto wao aliyeibiwa miaka 32 iliyopita China
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wazazi washtakiwa kwa 'kumruhusu' mtoto wao kuvalia nguo za kike
10 years ago
Bongo512 Nov
Wazazi wa Miss Tanzania mpya Lilian Kamazima watetea urai wa mtoto wao