Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZAZI WASUSA MAITI YA MTOTO WAO

Haijakaa sawa! Tofauti na desturi ya Kitanzania watu kuwa pamoja katika kipindi cha matatizo, wazazi wa marehemu, Leonard Jorome Mwakanyamale, wanadaiwa kususa kuzika maiti ya mtoto wao kisa ugomvi kati ya marehemu na nduguze. Kijana Leonard Jorome Mwakanyamale,enzi za uhai wake Leonard ambaye alikuwa akiishi Buguruni jijini Dar, alifariki dunia Mei 10, mwaka huu kwa Ugonjwa wa Malaria.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa jirani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wapanda jukwaani kumpigia debe mtoto wao

Zikiwa zimebaki siku 11 kabla ya kufanyika uchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, baba mzazi wa mgombea wa Chadema, Victor Tendega mwishoni mwa wiki iliyopita, alipanda jukwaani na kumpigia debe mtoto wake, Grace Tendega.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wazazi wampata mtoto wao aliyeibiwa miaka 32 iliyopita China

Familia moja China, aliyoibiwa mtoto wao wa kiume katika hoteli mwaka 1988 imempata baada ya miaka 32.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wazazi washtakiwa kwa 'kumruhusu' mtoto wao kuvalia nguo za kike

Luiz aliruhusiwa kuvalia nguo za kischana tangu alipokuwa na miaka mitatu baada ya wazazi wake kusadiki kwa ana jinsia mbili. Familia hiyo iliishia kuchunguzwa ili kubaini ikiwa ilikiuka haki ya mtoto huyo.

 

10 years ago

GPL

UKATILI ULIOJE! WAZAZI WAMPIGA, WAMFUNGA KAMBA MTOTO WAO, WAMFUNGIA NDANI

Na Dustan Shekidele Katika hali inayoonyesha ukatili wa ajabu, mwanamke mmoja aliyejulikana  kwa jina la  Asha Mohamed, akishirikiana na mumewe, walimfunga kamba miguu na mikono mwanaye wa kumzaa Salum Mohamed (9) na kumfungia ndani ya nyumba yake huku wenyewe wakienda kusikojulikana muda mrefu Jumatatu iliyopita huko Mkundi, nje kidogo ya mji wa Morogoro. Polisi wakimfungua kamba mtoto huyo alizokua amefungwa na wazazi...

 

10 years ago

Michuzi

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAPOTI MTOTO WAO

 Wazazi wa Miss Tanzania 2013  Happiness Watimanywa  wakiongozwa na Baba yake (wa Tatu Kutoka Kushoto) Pamoja na Mama yake (wa Tatu Kutoka Kulia) wakiwa wameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa Leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 Yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  Ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2013  Happiness...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wazazi wa Miss Tanzania 2013 waelekea London kumpa sapoti mtoto wao

IMG_0231

Na MATUKIO TZ BLOG

Wazazi wa Miss Tanzania 2013  Happiness Watimanywa  akiongozwa na Baba yake wa Tatu Kutoka kushoto Pamoja na Mama yake wa Tatu Kutoka Kulia WakiwaWameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2013 ...

 

10 years ago

Bongo5

Wazazi wa Miss Tanzania mpya Lilian Kamazima watetea urai wa mtoto wao

Wazazi wa Miss Tanzania 2014 mpya Lilian Kamazima, Mzee Deus na mkewe Eva Kamazima wameibuka na kueleza kuwa binti yao ni Mtanzania halisi. Miss Tanzania 2014 Lilian Mzee Kamazima anayeishi Arusha aliibuka jana na kutoa tamko kuhusiana na tetesi zinazohusu utata wa uraia wa binti yake na kueleza kuwa Lilian ni mzawa halisi wa Tanzania […]

 

10 years ago

Vijimambo

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAOTI MTOTO WAO


 Wazazi wa Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa  Akiongozwa na Baba yake wa Tatu Kutoka Kushoto Pamoja na Mama yake wa Tatu Kutoka Kulia WakiwaWameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa Leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 Yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  Ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa...

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAOTI MTOTO WAO‏

Wazazi wa Miss Tanzania 2O13, Happiness Watimanywa akiongozwa na baba yake wa Tatu kutoka kushoto pamoja na mama yake wa Tatu kutoka kulia wakiwa wameambatana na wadogo wa Miss Tanzania 2O13 pamoja na marafiki wengine wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere katika hatua za mwisho kabla ya kusafiri mchana wa jana kuelekea Jijini London kwenye kilele cha Mashindano ya Miss World 2O14 yakakayohitimishwa tarehe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani