UNAKUBALI MKEO AVAE NGUO ZA KUBANA, KITOVU NJE! USHAMBA ULIOJE?
![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOTXQj7*AtWKrXqYXTywBlksVnYPz-IgqiCu1K1iR64I5n9*QEqxz4k1gJUNIQDeRF3a5Lfzly3S*b8EOZSYMeZH/mahaba.jpg?width=650)
WAKATI f’lani niliwahi kuandika makala iliyokuwa inahusu sababu ambazo zinawafanya baadhi ya wanawake kupata usumbufu mkubwa kutoka kwa wanaume wakware. Makala hayo yaligusia mbali na mambo mengine, suala la uvaaji usio wa kiheshima. Nikasema kwamba, endapo mchumba, mke au mpenzi wa mtu ataamua kuvaa nguo ambazo hazina tofauti na zile wanazovaa wale machangudoa, basi asijisikie vibaya kusumbuliwa kwa kuitwa majina ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Utafiti: Nguo za kubana zinaweza kusababisha saratani
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio)
Baada ya taarifa kusambaa kuwa Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye ameatangaza kukamatwa kwa watu wanaovaa nguo fupi na zile za kubana mwili wakamatwe, sasa haya ndio maelezo kamili unapaswa kuyafahamu. Bonyeza Play hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ […]
The post Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio) appeared first on...
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Mashabiki wamemjia juu Aunty Ezekiel,kisa pombe, kuvaa nguo za kubana ambazo hazistahili kwa mjamzito.
stakishobo19 Aunt my kama hako ni kabia achana nacho bwana usitusumbulie kababy ketu jamani vumilia kwanza
kiria_lazaro Umshka pombe, inamadhara kwa mtto in u fucking stomach
mariousmiley Anti naona unatumia...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje..
Kama ni mfatiliaji wa masuala ya kila kinachoendelea kwenye headlines kubwa kutoka Tanzania zilizofanikiwa kuteka zaidi siku chache zilizopita, ni ishu ya kasi ya Rais Magufuli kwenye utendaji wake huku akisisitiza kubana matumizi ya Serikali. Kwenye kubana matumizi kwa sasa Rais Magufuli aliagiza pia kuzuia safari za viongozi nje ya nchi… Rais wa Ghana pia […]
The post Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje.. appeared first on...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QcXld1EWU_o/XprM85SFFxI/AAAAAAAAyM0/T2nV1MSqDxomcsgS7v8SkeU6UTfbyX5DgCLcBGAsYHQ/s72-c/69992797_10157534003004722_7802154697044787200_n-660x400.jpg)
KUANZIA JUMATATU KILA MTU AVAE MASK
![](https://1.bp.blogspot.com/-QcXld1EWU_o/XprM85SFFxI/AAAAAAAAyM0/T2nV1MSqDxomcsgS7v8SkeU6UTfbyX5DgCLcBGAsYHQ/s400/69992797_10157534003004722_7802154697044787200_n-660x400.jpg)
Amesema haijalishi ila lazima watu wavae Barakoa “Ununue, ukate kanga, ukate leso na utafute rubber bands. Lazima uwe umevaa Barakoa”
Aidha, ameagiza kuwa kuanzia Jumatatu biashara zote zifanyike kwa mfumo wa ‘take away’ yaani ufike sehemu ya kununua bidhaa, nunua na ondoka
Pia, amewataka watu kuhakikisha wanakaa umbali wa mita 2 kila wakiwa eneo la msongamano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkqyNVqRkY42LxCutnlBjrfJ4Qmx97pC8H1lWGxgbyKe5X1l-tFQCNYBh37cRrlLCtnUpmJBkr79bjcQotjPw3y/Ukatilil.gif?width=650)
UKATILI ULIOJE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oMMRDz9hqvWUGz*XAqm5otWxhmlER2nZSaK4GFDPk7TrcoQt5RbmMqxo0GUa6HouKzu0QLm65JKU6R6vY7T4dB5/unyama.jpg)
UNYAMA ULIOJE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUndHX1bVzbxcV6zqGh-lMkE20yQqcy90qQTfMUBWNtGTzQEn6hwpivUVzZyxAWYulkYYCG9lDSsEOpCEiCx6ohc/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAMBA NI USHAMBA TU!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGSkQ2O-ExJOeL8QIkHnagD6uLLblvIodQTl88kIp3E3ZmUj7xmYdMEtDI2zjwhA1WddCQzLWBZIlcDd4RlUzZD/Moto.jpg?width=650)
UKATILI ULIOJE! SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO WAKE