Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Nguo za kubana zinaweza kusababisha saratani

> Kadiri siku zinavyokwenda kumekuwapo na ugunduzi wa vitu mbalimbali vinavyochangia kuleta mabadiliko katika jamii.Mabadiliko hayo yanaweza kuwa hasi au chanya kutegemea na aina ya  bidhaa iliyogunduliwa na matumizi yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UNAKUBALI MKEO AVAE NGUO ZA KUBANA, KITOVU NJE! USHAMBA ULIOJE?

WAKATI f’lani niliwahi kuandika makala iliyokuwa inahusu sababu ambazo zinawafanya baadhi ya wanawake kupata usumbufu mkubwa kutoka kwa wanaume wakware. Makala hayo yaligusia mbali na mambo mengine, suala la uvaaji usio wa kiheshima. Nikasema kwamba, endapo mchumba, mke au mpenzi wa mtu ataamua kuvaa nguo ambazo hazina tofauti na zile wanazovaa wale machangudoa, basi asijisikie vibaya kusumbuliwa kwa kuitwa majina ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio)

Baada ya taarifa kusambaa kuwa Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye ameatangaza kukamatwa kwa watu wanaovaa nguo fupi na zile za kubana mwili wakamatwe, sasa haya ndio maelezo kamili unapaswa kuyafahamu. Bonyeza Play hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ […]

The post Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

CloudsFM

Mashabiki wamemjia juu Aunty Ezekiel,kisa pombe, kuvaa nguo za kubana ambazo hazistahili kwa mjamzito.

Mashabiki wamemjua juu staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel baada ya kupost picha kwenye mtandao wa Instagram akiwa ameshika chupa ya pombe na kuvaa nguo ambazo hazistahili kuvaa mama mjamzito. godfreymtenga Ila uangalie mavazi wakati wa ujauzito.hiyo kaptula hapana vaa vigauni

stakishobo19 Aunt my kama hako ni kabia achana nacho bwana usitusumbulie kababy ketu jamani vumilia kwanza

kiria_lazaro Umshka pombe, inamadhara kwa mtto in u fucking stomach


mariousmiley Anti naona unatumia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti waelezea sababu za saratani

Utafiti umebaini kuwa ugonjwa wa saratani ni zaidi ya mtindo wa maisha ya watu na mazingira.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Kulala bila nguo kunapunguza uwezekeno wa kupata kisukari

Utafiti mpya uliotolewa nchini Marekani, umebainisha kuwa watu wanaopenda kulala bila nguo wanapata faida nyingi ikiwamo ya kuwa na uwezekano mdogo wa kupata ugonjwa wa kisukari.

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili


exim1 Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim, Bi. Elizabeth Mayengoh, akikabidhi vitabu kwa mmoja wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwenye wodi maalum ya watoto wanaougua ugonjwa wa saratani katika kuadhimisha siku ya saratani duniani. Wanaoshudia ni baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim na wazazi wa watoto hao. Benki hiyo ilikabidhi vifaa mbalimbali vikiwemo vyakula, vifaa vya kuchezea, sabuni, vifaa vya shule nk, lengo likiwa ni kujenga...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wakati akizindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora, katika uwanja wa Chipukizi mkoani humo. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na baadhi ya akina mama wa Tabora. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. Joseph Komwihangiro, Mkurugenzi wa Marie Stopes kwa kuwa mstari wa mbele katika huduma na elimu za mzazi wa mpango Jumamosi Mei 7, 2014 wakati akizindua ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bidhaa za ndani zinaweza kukuza uchumi wa nchi

KUKUZA fursa za mitaji ni miongoni mwa dhana zilizojengeka midomoni mwa walio wengi huku wakiita ni dhana ya kijasiriamali. Kila mmoja aliyeweza kukuza mitaji kwa njia yoyote ile, hujiita mjasiriamali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani