Wachapwa bakora kwa kuvuruga familia Bukombe
Sungusungu wameaza kutekeleza maagizo ya viongozi wa Kijiji cha Ihulike, Kata ya Bukombe mkoani Geita la kuwachapa bakora wanaume waliopora fedha za mradi wa Maendeleo ya Jamii, (Tasaf) kutoka kwa wake zao na kwenda kunywea pombe wakikwamisha malengo ya kuziondoa katika umasikini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppDqWRZkjTGRLTVEKYCfnJXc37par8l604g9MPrKaykrtK*M7PoccrU3vI-Tr3-tSBqtLhze6bMCSpn3meE*OLrX/maluun11.jpg?width=650)
WAREMBO WACHAPWA BAKORA
9 years ago
VijimamboCOMRADE MWIGULU NCHEMBA ATUA BUKOMBE,SASA JIMBO LA BUKOMBE MIKONONI MWA CCM
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Wachapwa viboko kwa kushindwa kulipia mahafali
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida na kushangaza wanafunzi wa shule ya Sekondari Kivukoni katika halmashauri ya mji wa Geita Mkoani hapa wamepewa adhabu ya viboko wakilazimishwa kuchangia sherehe ya kuhitimu...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wachapwa faini ya mil 60/- kwa kudharau mamlaka
NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amevitoza faini ya zaidi ya Sh milioni 60 viwanda viwili vya Lodhia Plastic Industries Limited na Sunflag (T) Ltd kwa kukiuka taratibu za kazi na kudharau mamlaka ya usalama mahali pa kazi (Osha).
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Bakora sita za Ukawa kwa CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/y1zub0W2Esg/default.jpg)
9 years ago
StarTV24 Nov
Daktari wa Hospitali ya Bukombe afukuzwa kazi kwa kukataa kutoa huduma
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha amemfukuza kazi daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Bukombe Johanne Mkobwe kwa madai ya kukataa kutoa huduma kwa mtoto wa miezi sita aliyefikishwa Hospitalini hapo akiwa na hali mbaya kiafya.
Mtoto huyo Johson Manyama alifikishwa majira ya saa kumi asubuhi novemba 22 na wazazi wake na kumkuta daktari wa zamu amelala na alipoamshwa aliwafukuza na kuwaambia wasubiri hadi saa mbili yeye anapumzika.
Inadaiwa mtoto Johson alizidiwa mahira ya saa kumi...
11 years ago
Habarileo25 Jul
Viwanda 3 kutozwa mil 90/- kwa kuvuruga mazingira
VIWANDA vitatu vinakabiliwa na adhabu ya faini ya Sh milioni 90 kutokana na kushindwa kutimiza masharti ya kuhifadhi mazingira katika uendeshaji wake.
10 years ago
VijimamboKINANA ASAFIRI KWA BODABODA KWENDA KUKIOKOA KIJIJI CHA ILYAMCHELE KISICHOKUWA NA SHULE WILAYANI BUKOMBE