WAREMBO WACHAPWA BAKORA
![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppDqWRZkjTGRLTVEKYCfnJXc37par8l604g9MPrKaykrtK*M7PoccrU3vI-Tr3-tSBqtLhze6bMCSpn3meE*OLrX/maluun11.jpg?width=650)
Waandishi wetu MAUSTADH jijini Dar es Salaam wamefikia uamuzi mzito wa kutembeza bakora kwenye vijiwe korofi vya warembo wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili almaarufu kama machangudoa au machangu kwa kile kilichodaiwa kuwa wanasafisha jiji kutokana na kero za vishawishi vya kuharibiwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Maustadh wakimuadhibu mmoja wa machangudoa hao. Kwa mujibu wa sosi aliyewasiliana na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Wachapwa bakora kwa kuvuruga familia Bukombe
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Watson, Ivanovic wachapwa US Open 2015
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wachapwa faini ya mil 60/- kwa kudharau mamlaka
NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amevitoza faini ya zaidi ya Sh milioni 60 viwanda viwili vya Lodhia Plastic Industries Limited na Sunflag (T) Ltd kwa kukiuka taratibu za kazi na kudharau mamlaka ya usalama mahali pa kazi (Osha).
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Wachapwa viboko kwa kushindwa kulipia mahafali
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida na kushangaza wanafunzi wa shule ya Sekondari Kivukoni katika halmashauri ya mji wa Geita Mkoani hapa wamepewa adhabu ya viboko wakilazimishwa kuchangia sherehe ya kuhitimu...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Meya, Diwani wachapwa vibao na mgambo Arusha
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelosi, Ephata Nanyaro (wote CHADEMA), wamepigwa na kujeruhiwa na askari wa jiji (mgambo). Kutokana na tukio hilo,...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/s72-c/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
Raila Odinga atandikwa bakora
![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fKNZkWK9oi4/VDK9kww06hI/AAAAAAAAC5c/7V5xcLv0Aws/IMG-20141006-WA0000.jpg%20cursor:%20pointer;)
Mzee Mdzombo anasemekana kutokuwa timamu kiakiliKiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amemsamehe mzee aliyempiga bakora katika mkutano wa hadhara wa kisiasa katika jimbo la Kwale Pwani ya Kenya,Mwanamume huyo, Lengo Mdzombo, anayefanya kibarua katika shamba moja Kwale, alikamatwa Jumanne na kufikishwa mahakamani.
Alishitakiwa kwa kosa la kumshambulia kiongozi huyo pamoja na gavana wa Kwale.Hali ya taharuki ilitanda katika mkutano wa hadhara Jumatatu wiki hii baada ya Mdzombo kwenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWdz8SxDG-ZNoE98rxpR9NCwMqVsJcf5*dKNJRrRBAs-cIEMOCh0YdzLy2BTLDHx4rjJ*q7Qt7vbtxX1MBLELy-8/odinga.jpg?width=650)
ALIYEMCHAPA ODINGA BAKORA ASHITAKIWA
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Etoile wabashiri bakora tatu