Wachapwa faini ya mil 60/- kwa kudharau mamlaka
NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amevitoza faini ya zaidi ya Sh milioni 60 viwanda viwili vya Lodhia Plastic Industries Limited na Sunflag (T) Ltd kwa kukiuka taratibu za kazi na kudharau mamlaka ya usalama mahali pa kazi (Osha).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wapigwa faini mil.137/- kwa kuvusha magendo
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA) mkoani Mara, imewapiga faini ya Sh milioni 137 wafanyabiashara walioingiza nchini mali kinyemela kutoka nchini jirani ya Kenya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmMMVmkdun5Oe0atQe87OMbumH2s9ZMkt8LmMUctv4wPFZdgveHAXkv*5anmdxLtedkH8*qrsktfpuEr1vXofpFi/Front.jpg?width=650)
AFUMANIWA AJIPIGA FAINI MIL. 3
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Makampuni ya Simu za Mkononi Yapigwa Faini ya Sh. Mil 25
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na makampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Airtel, Halotel na Zantel na Smart kwa kuto kukidhi vigezo. Pia amesema kuwa Makampuni hayo yamepigwa faini ya shilingi milioni 25 kwa mamlaka ya mawasiliano Tanzania kabla ya Januari 29 mwakani.
Mwanasheria wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Elizabeth Zagi akifafanua jambo mbele ya waandishi wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Watakaochakachua mbolea kutozwa faini sh. mil. 500
NA SELINA WILSON,DODOMA
SERIKALI inakusudia kuongeza viwango vya adhabu ya faini kwa watakaochakachua mbolea kwa kuwatoza faini ya kati ya sh. milioni 100 na sh. milioni 500.
Pamoja na faini hiyo, mbolea itakayobainika kuchakuliwa na kuwa chini ya kiwango itateketezwa baada ya wakaguzi kuthibitisha kwamba imechakachuliwa.
Hayo yamo katika muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mbolea sura namba 378 uliowasilishwa bungeni Jumatano wiki hii na kusomwa kwa mara ya kwanza.
Kwa mujibu wa muswada huo,...
10 years ago
Habarileo18 Oct
Faini Dar zaingizia serikali mil 336/-
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kupitia kikosi chake cha usalama barabarani wamekusanya zaidi ya Sh milioni 336 kama tozo kwa makosa mbalimbali ya kukiuka sheria za usalama barabarani.
10 years ago
Habarileo10 May
Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-
MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.