Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Etoile wabashiri bakora tatu

Dar es Salaam. Mchezo wa soka si kamari. Kwa maana hiyo, ubashiri wa wapinzani wa Yanga, Etoile du Sahel walipotua nchini kwa ndege maalum jana alfajiri wakipunga mikono kwa vidole vitatu, unaifanya mechi ya leo iwe kivutio.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAREMBO WACHAPWA BAKORA

Waandishi wetu MAUSTADH jijini Dar es Salaam wamefikia uamuzi mzito wa kutembeza bakora kwenye vijiwe korofi vya warembo wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili almaarufu kama machangudoa au machangu kwa kile kilichodaiwa kuwa wanasafisha jiji kutokana na kero za vishawishi vya kuharibiwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Maustadh wakimuadhibu mmoja wa machangudoa hao. Kwa mujibu wa sosi aliyewasiliana na...

 

10 years ago

GPL

ALIYEMCHAPA ODINGA BAKORA ASHITAKIWA

Bwana Lengo Karisa Mudzomba (40) akiwachapa bakora Raila Odinga na Salim Mvurya. MWANAMUME aliyemshambulia kiongozi wa Cord, Raila Odinga na Gavana wa Jimbo la Kwale, Salim Mvurya ameshtakiwa juzi katika mahakama ya Kwale nchini Kenya. Mtuhumiwa Lengo Karisa Mudzomba. Bwana Lengo Karisa Mudzomba (40), alishtakiwa mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi wa Kwale, Christine Njagi kwa kuwashambulia viongozi hao wawili na kuvuruga...

 

10 years ago

Vijimambo

Raila Odinga atandikwa bakora



Mzee Mdzombo anasemekana kutokuwa timamu kiakiliKiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amemsamehe mzee aliyempiga bakora katika mkutano wa hadhara wa kisiasa katika jimbo la Kwale Pwani ya Kenya,Mwanamume huyo, Lengo Mdzombo, anayefanya kibarua katika shamba moja Kwale, alikamatwa Jumanne na kufikishwa mahakamani.
Alishitakiwa kwa kosa la kumshambulia kiongozi huyo pamoja na gavana wa Kwale.Hali ya taharuki ilitanda katika mkutano wa hadhara Jumatatu wiki hii baada ya Mdzombo kwenda...

 

10 years ago

Mwananchi

Bakora sita za Ukawa kwa CCM

Uhakika wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutamba katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba utategemea umahiri wake katika kukabiliana na vikwazo sita vinaonekana kuwa mwiba kwake ambavyo upinzani kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unatarajiwa kuvitumia kama mtaji wake katika kampeni.

 

11 years ago

Habarileo

Wazazi Z'bar wataka bakora shuleni

BAADHI ya wazazi Zanzibar, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, kurudisha matumizi ya bakora shuleni kwa ajili ya kuimarisha nidhamu kwa wanafunzi. Mzazi Mohamed Haji (60) ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Bambi Wilaya ya Kati Unguja, alisema nidhamu ya wanafunzi, imepungua kwa sababu walimu wameacha kutumia adhabu za bakora shuleni.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachapwa bakora kwa kuvuruga familia Bukombe

Sungusungu wameaza kutekeleza maagizo ya viongozi wa Kijiji cha Ihulike, Kata ya Bukombe mkoani Geita la kuwachapa bakora wanaume waliopora fedha za mradi wa Maendeleo ya Jamii, (Tasaf) kutoka kwa wake zao na kwenda kunywea pombe wakikwamisha malengo ya kuziondoa katika umasikini.

 

10 years ago

Mwananchi

Buhari wa Nigeria atawacharaza tena bakora wakorofi?

>Miaka ile ya 1980 nilikuwa nasoma sana magazeti ya kimataifa kama ‘Africa,’ ‘Africa Now,’ ‘Africa Events’ na mengineyo yaliyoruhusiwa kuingia nchini.

 

11 years ago

CloudsFM

WAKUU WA IDARA LUDEWA WANUSURIKA KUCHARAZWA BAKORA MKUTANONI

BAADA ya wagonjwa zanahati ya Mlangali kulala chini kwa ukosefu wa vitanda mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewatimua katika mkutano wa hadhara wakuu wa idara sita akiwemo kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ludewa Horace Kolimba kutokana uzembe wa kushindwa kupeleka vitanda katika Zahanati hiyo kwa mwaka mmoja sasa mbali ya vitanda hivyo kuvinunua kwa pesa zake.

Hatua hiyo imekuja muda mufupi baada ya mbunge huyo kufungua rasmi zahanati hiyo na kukutana na changamoto ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani