Etoile wabashiri bakora tatu
Dar es Salaam. Mchezo wa soka si kamari. Kwa maana hiyo, ubashiri wa wapinzani wa Yanga, Etoile du Sahel walipotua nchini kwa ndege maalum jana alfajiri wakipunga mikono kwa vidole vitatu, unaifanya mechi ya leo iwe kivutio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppDqWRZkjTGRLTVEKYCfnJXc37par8l604g9MPrKaykrtK*M7PoccrU3vI-Tr3-tSBqtLhze6bMCSpn3meE*OLrX/maluun11.jpg?width=650)
WAREMBO WACHAPWA BAKORA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWdz8SxDG-ZNoE98rxpR9NCwMqVsJcf5*dKNJRrRBAs-cIEMOCh0YdzLy2BTLDHx4rjJ*q7Qt7vbtxX1MBLELy-8/odinga.jpg?width=650)
ALIYEMCHAPA ODINGA BAKORA ASHITAKIWA
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/s72-c/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
Raila Odinga atandikwa bakora
![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fKNZkWK9oi4/VDK9kww06hI/AAAAAAAAC5c/7V5xcLv0Aws/IMG-20141006-WA0000.jpg%20cursor:%20pointer;)
Mzee Mdzombo anasemekana kutokuwa timamu kiakiliKiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amemsamehe mzee aliyempiga bakora katika mkutano wa hadhara wa kisiasa katika jimbo la Kwale Pwani ya Kenya,Mwanamume huyo, Lengo Mdzombo, anayefanya kibarua katika shamba moja Kwale, alikamatwa Jumanne na kufikishwa mahakamani.
Alishitakiwa kwa kosa la kumshambulia kiongozi huyo pamoja na gavana wa Kwale.Hali ya taharuki ilitanda katika mkutano wa hadhara Jumatatu wiki hii baada ya Mdzombo kwenda...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Bakora sita za Ukawa kwa CCM
11 years ago
Habarileo05 Aug
Wazazi Z'bar wataka bakora shuleni
BAADHI ya wazazi Zanzibar, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, kurudisha matumizi ya bakora shuleni kwa ajili ya kuimarisha nidhamu kwa wanafunzi. Mzazi Mohamed Haji (60) ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Bambi Wilaya ya Kati Unguja, alisema nidhamu ya wanafunzi, imepungua kwa sababu walimu wameacha kutumia adhabu za bakora shuleni.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Wachapwa bakora kwa kuvuruga familia Bukombe
10 years ago
Mwananchi04 May
Buhari wa Nigeria atawacharaza tena bakora wakorofi?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/y1zub0W2Esg/default.jpg)
11 years ago
CloudsFM06 Aug
WAKUU WA IDARA LUDEWA WANUSURIKA KUCHARAZWA BAKORA MKUTANONI
BAADA ya wagonjwa zanahati ya Mlangali kulala chini kwa ukosefu wa vitanda mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewatimua katika mkutano wa hadhara wakuu wa idara sita akiwemo kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ludewa Horace Kolimba kutokana uzembe wa kushindwa kupeleka vitanda katika Zahanati hiyo kwa mwaka mmoja sasa mbali ya vitanda hivyo kuvinunua kwa pesa zake.