Raila Na Gavana Wa Kwale Washambuliwa Kwa Bakora, Kinango
![](http://img.youtube.com/vi/y1zub0W2Esg/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/s72-c/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
Raila Odinga atandikwa bakora
![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fKNZkWK9oi4/VDK9kww06hI/AAAAAAAAC5c/7V5xcLv0Aws/IMG-20141006-WA0000.jpg%20cursor:%20pointer;)
Mzee Mdzombo anasemekana kutokuwa timamu kiakiliKiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amemsamehe mzee aliyempiga bakora katika mkutano wa hadhara wa kisiasa katika jimbo la Kwale Pwani ya Kenya,Mwanamume huyo, Lengo Mdzombo, anayefanya kibarua katika shamba moja Kwale, alikamatwa Jumanne na kufikishwa mahakamani.
Alishitakiwa kwa kosa la kumshambulia kiongozi huyo pamoja na gavana wa Kwale.Hali ya taharuki ilitanda katika mkutano wa hadhara Jumatatu wiki hii baada ya Mdzombo kwenda...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Bakora sita za Ukawa kwa CCM
Uhakika wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutamba katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba utategemea umahiri wake katika kukabiliana na vikwazo sita vinaonekana kuwa mwiba kwake ambavyo upinzani kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unatarajiwa kuvitumia kama mtaji wake katika kampeni.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Wachapwa bakora kwa kuvuruga familia Bukombe
Sungusungu wameaza kutekeleza maagizo ya viongozi wa Kijiji cha Ihulike, Kata ya Bukombe mkoani Geita la kuwachapa bakora wanaume waliopora fedha za mradi wa Maendeleo ya Jamii, (Tasaf) kutoka kwa wake zao na kwenda kunywea pombe wakikwamisha malengo ya kuziondoa katika umasikini.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Raila Odinga afanyiwa upasuaji baada ya kuugua mgongo, Kaka wa Raila Odinga athibitisha
Kaka na masemaji wa familia Dkt Oburu Odinga azungumza na BBC kuhusu afya ya Raila Odinga.
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Washambuliwa kwa kuvaa nguo fupi Kenya
Kikundi cha wasichana kilinusurika kuvuliwa nguo na wachuuzi mjini Kapsabet Magharibi mwa Kenya kwa kuvaa nguo zisizo za heshima.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Raila Odinga ashambuliwa kwa kiboko
Hali ya taharuki iliibuka katika katika jimbo la Kwale nchini Kenya, baada ya mwanamume mmoja kumchapa Raila Odinga kwa kiboko
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara
Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara
View this document on Scribd
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3534&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4zwCN8taSoE/VjJqpuxL5wI/AAAAAAAA31Y/UoqEBHfcBwM/s72-c/Raila-Odinga-stripped-of-his-last-political-benefit.jpg)
Raila Odinga Ampongeza Magufuli, Atoa Ushauri Kwa Lowassa
![](http://4.bp.blogspot.com/-4zwCN8taSoE/VjJqpuxL5wI/AAAAAAAA31Y/UoqEBHfcBwM/s640/Raila-Odinga-stripped-of-his-last-political-benefit.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza John Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Tanzania.Aidha, amemshauri mgombea wa upinzani Edward Lowassa Kuwa Kama Hajakubaliana na Matokeo basi Aende Mahakama kushtaki Kama yeye Alivyofanya wakati akigombea Urais Kenya na Kushindwa na Kenyatta.....Quote: What we have, what we wish we had - ambitions fulfilled, ambitions disappointed, investments won, investments lost, elections won, elections lost - these things may...
11 years ago
BBCSwahili28 Jan
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania