Bakora sita za Ukawa kwa CCM
Uhakika wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutamba katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba utategemea umahiri wake katika kukabiliana na vikwazo sita vinaonekana kuwa mwiba kwake ambavyo upinzani kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unatarajiwa kuvitumia kama mtaji wake katika kampeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Ukawa wapinga ushindi wa CCM majimbo sita
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Wachapwa bakora kwa kuvuruga familia Bukombe
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/y1zub0W2Esg/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awasili Mkoani Iringa kwa ziara ya siku sita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara baada ya kuwasili mkoani Iringa kuanza ziara ya siku sita ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na kukagua uhai wa chama. Katika ziara hiyo Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu na katikati ni Katibu...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Hofu ya CCM kwa UKAWA ni nini?
WAHENGA hawakukosea waliposema “Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.” Ni nasaha inayotukumbusha umuhimu wa kushirikiana na binadamu wenzetu maishani katika mambo tufanyayo. Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni muungano...
11 years ago
Mwananchi08 May
CCM ‘kuishambulia’ Ukawa kwa siku 26
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015
10 years ago
Mwananchi09 May
CCM itang’oka kwa mambo haya - Ukawa
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
CCM yakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa UKAWA