Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015
Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Zanzibar wameibeza ripoti iliyotolewa wiki hii na Taasisi ya Twaweza, wakisema haielezi hali halisi ilivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Ukawa, Magufuli na anguko kuu
WAHENGA wana msemo; “mwenye nguvu mpishe, usipompisha utavunjika mbavu. Si siri Dk.
Yahya Msangi
10 years ago
Habarileo05 Aug
Wasomi watabiri anguko la Chadema, Ukawa
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Taifa ya Chadema, Freeman Mbowe kukiri kupumzika kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Willbrod Slaa, wasomi na wanachama wa chama hicho, wamedai kuwa huo ni mwanzo wa kupasuka kwa chama hicho na kusambaratika kwa umoja wa vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Urais 2015: CCM, Ukawa hapatoshi
10 years ago
TheCitizen15 Sep
Now Ukawa seeks to edge CCM in 2015
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Mgombea wa UKAWA wa 2015 atishia CCM
KAULI iliyotolewa na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuwa watamsimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya Urais, baadhi ya makada wa CCM wameanza kuhofia. Vyanzo vya kuaminika vya...
9 years ago
Habarileo18 Aug
CC ya CCM yathibitisha anguko la mawaziri
KAMATI Kuu (CC) ya CCM jana ilikamilisha uteuzi wa wagombea ubunge katika majimbo 11 yaliyokuwa na dosari ambapo sasa wabunge wa zamani, Profesa Peter Msolla, Dk Binilith Mahenge, Dk Seif Rashid, Vita Kawawa, Gaudence Kayombo na Dk Titus Kamani wamekwama katika kutetea nafasi hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Ngeze atabiri anguko la CCM
MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze (70) anaamini kwamba chama chake kina wakati mgumu kutokana na mambo mawili: Kwanza, upinzani umepata nguvu zaidi, pili...
10 years ago
Dewji Blog31 May
Mchumi wa Wizara ya Viwanda na Biashara kugombea ubunge jimboni kwa Mgimwa, asema wana Mufindi wajiandae kwa neema mpya ……
![](http://4.bp.blogspot.com/-_g1iMQJNitM/VWnV1aQDZGI/AAAAAAAB9aA/bynwNJfQu3Q/s640/DSC_0158.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oA3LXuq9S4I/VWnVH5paxnI/AAAAAAAB9Zo/nq655EkOcwE/s640/DSC_0190.jpg)
Na FGBLOG, MUFINDI
MDAU mkubwa wa maendeleo ya elimu katika wilaya ya Mufindi mkoani Iringa na mzaliwa wa kijiji cha Nungwe, wilayani Mufindi Mkoani Iringa Bw Exaud Kigahe ambae ni mchumi mkuu wa wizara ya viwanda na biashara amepania kuwakomboa kimaendeleo wakazi wa jimbo la Mufindi Kaskazini linaloongozwa na Naibu Waziri wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s72-c/IMG_2380.jpg)
FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s1600/IMG_2380.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando,
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
Msama amesema kuwa baada ya albamu...