Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Now Ukawa seeks to edge CCM in 2015

Three major opposition parties, Chadema, CUF and NCCR-Mageuzi, have agreed to field a single presidential candidate in the 2015 General Election, it was announced yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Katiba outfit seeks to trim CCM’s edge

Some members of the Constituent Assembly (CA) have formed an alliance, ostensibly to articulate opposing views, in what appears to be an attempt to counter the ruling Chama Cha Mapinduzi’s plans to use its numerical strength to push through its agenda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgombea wa UKAWA wa 2015 atishia CCM

KAULI iliyotolewa na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuwa watamsimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya Urais, baadhi ya makada wa CCM wameanza kuhofia. Vyanzo vya kuaminika vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Urais 2015: CCM, Ukawa hapatoshi

Harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao inaonekana kushika kasi. Tayari wanasiasa kutoka pande mbili zinazovutana ndani ya chama tawala, CCM na kwa upande wa pili ndani ya kambi ya upinzani (Ukawa) wameanza kuweka mikakati.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Zanzibar wameibeza ripoti iliyotolewa wiki hii na Taasisi ya Twaweza, wakisema haielezi hali halisi ilivyo.

 

10 years ago

TheCitizen

Malecela seeks CCM nomination

Nyalandu, two other rulling party members pick up nomination forms for the post of president

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe: UKAWA hadi 2015

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema nguvu na umoja wa UKAWA vilivyopo sasa, vitaendelea kuwepo na kutumika hadi katika uchaguzi mkuu wa nafasi mbalimbali mwakani....

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA MWENZA WA CCM SAMIAH SULUHU ANADI ILANI YA CCM MWAKA 2015 KATIKA KATA YA KYENGEGE,WILAYA YA IRAMBA

Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kwa Chama cha Mapinduzi Bi.Samia Suluh akisalimiana na Mh;Mwigulu Nchemba ambaye ni mgombea Ubunge jimbo la Iramba hii leo,Bi.Samiah suluhu katika ziara yake ya kampeni ndani ya mkoa wa Singida,hii leo amefika Kata ya Kyengege Jimbo la Iramba kwaajili ya kunadi Ilani ya CCM ya uchaguzi ya Mwaka 2015 na kuomba kura za kishindo kwa nafasi zote za Udiwani,Ubunge na Urais ifikapo Tar.25.10.2015
Bi.Samiah Suluhu ambaye ni Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa yajizatiti kuelekea Ikulu 2015

lipumbaNA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedhamiria kudumisha ushirikiano wa vyama vinavyounda UKAWA kuhakikisha wanaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupata serikali itakayoondoa matabaka, uonevu na udhalilishaji pamoja na kupunguza umasikini kwa wananchi.
Maazimo hayo yalifikiwa katika kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa, CUF, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama.
Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa kusimamisha mgombea urais 2015

>Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeanza maandalizi ya kushirikiana katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais, gazeti hili limebaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani