Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa, Magufuli na anguko kuu

WAHENGA wana msemo; “mwenye nguvu mpishe, usipompisha utavunjika mbavu. Si siri Dk.

Yahya Msangi

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasomi watabiri anguko la Chadema, Ukawa

SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Taifa ya Chadema, Freeman Mbowe kukiri kupumzika kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Willbrod Slaa, wasomi na wanachama wa chama hicho, wamedai kuwa huo ni mwanzo wa kupasuka kwa chama hicho na kusambaratika kwa umoja wa vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Zanzibar wameibeza ripoti iliyotolewa wiki hii na Taasisi ya Twaweza, wakisema haielezi hali halisi ilivyo.

 

5 years ago

CCM Blog

DK. MAGUFULI NA DK. SHEIN WATETA KABLA YA KUANZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM, IKULU YA CHAMEINO MJINI DODOMA, LEO


Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein muda mfupi kabla ya kuanza kufanyika Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya  CCM katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, leo.

 

5 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA, IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA, LEO, HAMASA ZATANDA UKUMBINI

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika leo Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma tarehe 10 Juni 2020. Upande wake wa kulia ni makamu Mwenyekiti wa CCM Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Makamu wa Rais Samia Sulu Hassan, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Waziri Mkuu Maliwa Kasim Majaliwa na upande wake wa Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na Makamu Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa gumzo Kamati Kuu CCM

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana ulikuwa gumzo katika kikao cha Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mjini hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati Kuu CCM yakuna kichwa kuikabili Ukawa

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina haja wala mpango wa kuzungumza na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliosusia Bunge la Katiba, badala yake watashughulika nao mitaani kwa kujibu mapigo yao.

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

UKAWA kumshitaki Magufuli

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli Inakusudia kuchukua hatua kwa madai mgombea huyo wa urais wa CCM anaiga na kutumia nembo za Chadema kwenye mabango na hotuba zake za kampeni. Na Waandishi […]

The post UKAWA kumshitaki Magufuli appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa: Hatutishwi na Magufuli

>Dakika chache baada ya CCM kumpitisha Dk John Magufuli kuwa mgombea wake wa urais, viongozi wa vyama vya upinzani wamesema hawatishwi na Dk Magufuli na wanamuona kama kada wa kawaida miongoni mwa wengi waliopo CCM na kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani