Wasomi watabiri anguko la Chadema, Ukawa
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Taifa ya Chadema, Freeman Mbowe kukiri kupumzika kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Willbrod Slaa, wasomi na wanachama wa chama hicho, wamedai kuwa huo ni mwanzo wa kupasuka kwa chama hicho na kusambaratika kwa umoja wa vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA
Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa (UN), Alvaro Rodriguez. Na Salome Kitomary 18th September 2015 Umoja wa Ulaya (EU), umesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu nchini, una ushindani mkali na siyo mwepesi kama chaguzi nne zilizopita […]
The post Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Ukawa, Magufuli na anguko kuu
WAHENGA wana msemo; “mwenye nguvu mpishe, usipompisha utavunjika mbavu. Si siri Dk.
Yahya Msangi
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Wasomi waichambua Ukawa
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA
SIKU moja baada ya Kamati Maalumu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutoa mapendekezo ya ugawaji wa majimbo 211 kati ya 239, wasomi na wachambuzi wa siasa wametoa maoni yao.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, wasomi na wachambuzi hao wa siasa pamoja na mambo mengine, walisema bado Ukawa wanatakiwa kueleza umma namna watakavyoandaa ilani yao na kuinadi mbele ya wananchi.
DK. BANA
Akitoa maoni yake jijini Dar es Salaam, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es...
10 years ago
Habarileo30 Jul
Wasomi waishangaa Ukawa
WASOMI mbalimbali nchini wamewatahadharisha wananchi kwa kusema nchi haijafikia wakati wa wanasiasa kutaka kushinda uchaguzi kwa gharama yoyote, hata kama hawana misingi ya utawala bora.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Wasomi wanavyoitazama ukawa baada uchaguzi
10 years ago
Habarileo12 Mar
Wasomi: Chadema imsamehe Zitto
WASOMI na wachambuzi wa masuala ya siasa nchini, wamekishauri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumsamehe Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto kwa kuwa bado anahitajika kujenga chama hicho.
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wasomi watoa mitazamo tofauti uzinduzi wa kampeni za Ukawa
10 years ago
TheCitizen13 May
Ukawa flag bearer most likely from Chadema to emerge from Chadema