Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeze atabiri anguko la CCM

MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze (70) anaamini kwamba chama chake kina wakati mgumu kutokana na mambo mawili: Kwanza, upinzani umepata nguvu zaidi, pili...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mtoto wa Shekhe Yahya atabiri anguko la wanasiasa

Hassan Yahya HusseinMRITHI wa kazi za marehemu Shekhe Yahya Hussein, Hassan Yahya Hussein, ametabiri kutokea kwa anguko la baadhi ya wanasiasa na kuibuka kwa malumbano yenye utata, kuhusu ajenda ya Serikali Tatu katika Katiba ijayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Ngeze: Kura za wana CCM pekee hazitoshi

Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze amesema wameunda kamati ya wazee wa mkoa huo ili watumie uzoefu wao kutafuta ushindi, akisema kura za wanachama pekee haziwezi kuwavusha wagombea wa chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Meya atabiri CCM kuzoa viti vingi serikali za mitaa

MEYA wa Manispaa ya Ilemela, Henry Matata amekitabiria Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu baada ya wananchi kubaini viongozi waliowaweka katika uchaguzi uliopita hawawajibiki ipasavyo.

 

9 years ago

Habarileo

CC ya CCM yathibitisha anguko la mawaziri

KAMATI Kuu (CC) ya CCM jana ilikamilisha uteuzi wa wagombea ubunge katika majimbo 11 yaliyokuwa na dosari ambapo sasa wabunge wa zamani, Profesa Peter Msolla, Dk Binilith Mahenge, Dk Seif Rashid, Vita Kawawa, Gaudence Kayombo na Dk Titus Kamani wamekwama katika kutetea nafasi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Zanzibar wameibeza ripoti iliyotolewa wiki hii na Taasisi ya Twaweza, wakisema haielezi hali halisi ilivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tofauti za hoja, fikra ndizo zitaipa nchi Katiba Bora- Ngeze

>Madai ya kutaka Serikali  ya Tanganyika siyo habari mpya kwa Watanzania. Hoja hiyo iliwahi kuutikisa Muungano baada ya kujitokeza kwa kundi  lililoongozwa na wabunge 55 wa chama tawala, CCM kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Atabiri 2014 kutawaliwa na maafa

SERIKALI imetakiwa kujiandaa katika matibabu kwa sababu mwaka 2014 unatabiriwa utakuwa wa shida na maafa makubwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam juzi na bingwa mtabiri nchini, Alhajj Hassan...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa Sheikh Yahya atabiri mazito

>Mtoto wa aliyekuwa mtabiri bingwa, Sheikh Yahya Hussein, Maalim Hassan Hussein ametabibiri kuwa Katiba Mpya itapatikana kwa mbinde, kwani kutakuwa na malumbano na utata hasa kuhusu ajenda ya Serikali tatu.

 

9 years ago

Habarileo

Atabiri mtoto wake kuwania Urais 2050

SIKU tatu baada ya Dk John Pombe Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ameibuka na kusema ana imani kubwa mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili atakuwa Mgombea wa Urais mwaka 2050.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani