Atabiri mtoto wake kuwania Urais 2050
SIKU tatu baada ya Dk John Pombe Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ameibuka na kusema ana imani kubwa mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili atakuwa Mgombea wa Urais mwaka 2050.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Mtoto wa Sheikh Yahya atabiri mazito
11 years ago
Habarileo06 Jan
Mtoto wa Shekhe Yahya atabiri anguko la wanasiasa
MRITHI wa kazi za marehemu Shekhe Yahya Hussein, Hassan Yahya Hussein, ametabiri kutokea kwa anguko la baadhi ya wanasiasa na kuibuka kwa malumbano yenye utata, kuhusu ajenda ya Serikali Tatu katika Katiba ijayo.
10 years ago
Bongo511 Oct
Video: Obama ampa Kanye West dondoo muhimu za kumsaidia kwenye uamuzi wake wa kuwania Urais wa Marekani
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Familia Mkoani Singida yamtabiria mtoto wao kuwa Rais mwaka 2050!
Mzee Nassoro Salum, akiwa mitaani jana na mtoto wake Yusuph ambaye amedai anamjengea mazingira mazuri kuja kuwa Rais wa Tanzania ifikapo mwaka 2050.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI Watanzania na dunia nzima leo imeshuhudia kuapishwa kwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli, familia moja mkoani Singida, imeanzisha rasmi safari ya kumwandaa mtoto wao wa kiume mwenye umri wa mwaka moja na miezi nane, kuja kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2050.
Mtoto huyo...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
GPL24 Oct
10 years ago
Habarileo29 Dec
Vijana kung’ara urais, ubunge, mwakani, atabiri Shehe Hassan
MRITHI wa kazi za Shekhe Yahya Hussein, Maalim Hassan Yahya Hussein ametabiri kuwa mwaka ujao utakuwa ni wenye mafanikio ya uongozi kwa vijana.
10 years ago
Vijimambo
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Vijimambo
SUGU ASHINDA KESI DHIDI YA MAMA MTOTO WAKE FAIZA, MAHAKAMA YAAMUA APEWE MTOTO


Hiki ndicho amekiandika...