Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa Shekhe Yahya atabiri anguko la wanasiasa

Hassan Yahya HusseinMRITHI wa kazi za marehemu Shekhe Yahya Hussein, Hassan Yahya Hussein, ametabiri kutokea kwa anguko la baadhi ya wanasiasa na kuibuka kwa malumbano yenye utata, kuhusu ajenda ya Serikali Tatu katika Katiba ijayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa Sheikh Yahya atabiri mazito

>Mtoto wa aliyekuwa mtabiri bingwa, Sheikh Yahya Hussein, Maalim Hassan Hussein ametabibiri kuwa Katiba Mpya itapatikana kwa mbinde, kwani kutakuwa na malumbano na utata hasa kuhusu ajenda ya Serikali tatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeze atabiri anguko la CCM

MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze (70) anaamini kwamba chama chake kina wakati mgumu kutokana na mambo mawili: Kwanza, upinzani umepata nguvu zaidi, pili...

 

11 years ago

Habarileo

Makaburi ya Shekhe Yahya, Kassim kujengwa upya

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck SadikiSERIKALI imesema itajenga makaburi ya mashekhe wawili maarufu, yaliyodaiwa kubomolewa na Mgambo wa jiji la Dar es Salaam katika operesheni ya usafi inayoendelea.

 

11 years ago

Habarileo

Shekhe:Wajumbe msikubali wanasiasa wawanunue

SHEKHE wa Mkoa wa Dodoma Mustapha Rajabu amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaowakilisha kupitia taasisi zao kwenye mchakato wa kuipata Katiba mpya kutokubali kununuliwa na wawakilishi wa vyama vya siasa.

 

9 years ago

Habarileo

Atabiri mtoto wake kuwania Urais 2050

SIKU tatu baada ya Dk John Pombe Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ameibuka na kusema ana imani kubwa mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili atakuwa Mgombea wa Urais mwaka 2050.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Atabiri 2014 kutawaliwa na maafa

SERIKALI imetakiwa kujiandaa katika matibabu kwa sababu mwaka 2014 unatabiriwa utakuwa wa shida na maafa makubwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam juzi na bingwa mtabiri nchini, Alhajj Hassan...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Guninita atabiri kilimo cha miwa kufa

MKULIMA wa Miwa aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ameibuka na utabiri kuwa zao hilo litakufa miaka miwili ijayo endapo serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani