CCM ‘kuishambulia’ Ukawa kwa siku 26
Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaanza ziara ya siku 26 katika Mikoa mitatu ya Tabora, Singida na Manyara kukagua uhai wa chama na maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa baadaye mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jul
MJEMA: CCM, Ukawa, tumieni siku 35 kufanya tafakuri
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1zTFqxRAUFmr*e4r9UE8S6Apmp1oYz1Tj3ErFK5OVAY3Jo5MaQUaQT1DvtPJ5*n96vi5Oq-rzxSJrsJkv6SLTdp/ukawanew.jpg?width=650)
MGOMBEA URAIS UKAWA KUTANGAZWA KWA SHAMRASHAMRA NDANI YA SIKU 7
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Hofu ya CCM kwa UKAWA ni nini?
WAHENGA hawakukosea waliposema “Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.” Ni nasaha inayotukumbusha umuhimu wa kushirikiana na binadamu wenzetu maishani katika mambo tufanyayo. Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni muungano...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Bakora sita za Ukawa kwa CCM
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
CCM yakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa UKAWA
10 years ago
Mwananchi09 May
CCM itang’oka kwa mambo haya - Ukawa
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Ukawa watumia kauli za Kinana kuichongea CCM kwa wananchi
Na Elias Msuya, Tanga
ZIARA ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, imeingia mkoani Tanga huku viongozi walio kwenye msafara wake wakiwakaanga wagombea ubunge wa CCM kwa kauli ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana aliyesema chama chake kimejaa wezi, wanafiki na majambazi.
Kinana alitamka maneno hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Moshi mkoani Kilimanjaro...