Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raila Odinga afanyiwa upasuaji baada ya kuugua mgongo, Kaka wa Raila Odinga athibitisha

Kaka na masemaji wa familia Dkt Oburu Odinga azungumza na BBC kuhusu afya ya Raila Odinga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAIS UHURU KENYATTA AHANI MSIBA WA MTOTO WA RAILA ODINGA, FIDEL ODINGA

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisaini kitabu cha maombolezo alipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Raila Odinga, Fidel Odinga aliyefariki jana. Kulia ni mke wa Odinga, Ida Odinga. Rais Uhuru Kenyatta akimpa pole aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga huko Karen, Kenya.…

 

10 years ago

Vijimambo

Raila Odinga atandikwa bakora



Mzee Mdzombo anasemekana kutokuwa timamu kiakiliKiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amemsamehe mzee aliyempiga bakora katika mkutano wa hadhara wa kisiasa katika jimbo la Kwale Pwani ya Kenya,Mwanamume huyo, Lengo Mdzombo, anayefanya kibarua katika shamba moja Kwale, alikamatwa Jumanne na kufikishwa mahakamani.
Alishitakiwa kwa kosa la kumshambulia kiongozi huyo pamoja na gavana wa Kwale.Hali ya taharuki ilitanda katika mkutano wa hadhara Jumatatu wiki hii baada ya Mdzombo kwenda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwana wa Raila Odinga afariki

Fidel Odinga mwana wa aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga amepatikana akiwa amefariki nyumbani kwake huko Karen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwana wa Raila Odinga hatimaye azikwa

Maelfu ya waombolezaji walifika katika chuo kikuu cha jaramogi Oginga Odinga siku ya jumamosi kwa mazishi ya mwana wa Raila.

 

5 years ago

Kenyans.Co.Ke

Coronavirus: Raila Odinga's Urge to Kenyans

Coronavirus: Raila Odinga's Urge to Kenyans  Kenyans.co.keHistory repeated: Ruto woes similar to Raila’s during Nusu Mkate government  Standard DigitalWill Ruto’s survival instincts win him top seat in 2022?  nation.co.keItumbi Exposes Details of' System' Fighting Ruto [VIDEO]  Kenyans.co.keRuto urges caution as Kenya confirms first coronavirus case  Capital FM KenyaView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

Raila Odinga ashambuliwa kwa kiboko

Hali ya taharuki iliibuka katika katika jimbo la Kwale nchini Kenya, baada ya mwanamume mmoja kumchapa Raila Odinga kwa kiboko

 

10 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Raila Odinga afariki dunia

Fidel-OdingaNAIROBI KENYA

MTOTO mkubwa wa kiume wa kiongozi wa upinzani wa Muungano wa Cord, Raila Odinga amefariki dunia jana asubuhi katika mazingira yasiyoeleweka.

Mtoto huyo, Fidel Odinga, alikutwa kitandani nyumbani kwake huko Windy Ridge, Karen baada ya kuutumia usiku wa jana na marafiki zake.

Mwili wa mfanyabiashara huyo, ambaye pia ni mwanasiasa kijana ulitarajiwa kupelekwa katika nyumba ya mazishi ya Lee Funeral Home.
Odinga, ambaye yuko eneo la tukio, alithibitisha kifo cha mwanae na kwamba...

 

10 years ago

TheCitizen

OCHIENG': Why Raila Odinga has much to learn from the passing on of his son

>Outreach is the chief quality of what German political analysts used to call realpolitik – namely, that sense of what is real which drives the would-be national leader into forming political alliances with all sorts of tribal and even racial communities within the nation. Fidel Odinga, then, was the nonpareil among the present generation of Kenya’s politicians.

 

10 years ago

The Standard Digital News

Raila Odinga sets up Tanzania retreat for CORD


Raila Odinga sets up Tanzania retreat for CORD
The Standard Digital News
Nairobi, Kenya: The Coalition for Reforms and Democracy ( CORD) will hold a meeting at a hotel in Arusha, Tanzania with governors and senators allied to the Opposition to heal the rifts between the two sides and forge unity for its "Okoa Kenya" referendum ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani