Daktari wa Hospitali ya Bukombe afukuzwa kazi kwa kukataa kutoa huduma
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha amemfukuza kazi daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Bukombe Johanne Mkobwe kwa madai ya kukataa kutoa huduma kwa mtoto wa miezi sita aliyefikishwa Hospitalini hapo akiwa na hali mbaya kiafya.
Mtoto huyo Johson Manyama alifikishwa majira ya saa kumi asubuhi novemba 22 na wazazi wake na kumkuta daktari wa zamu amelala na alipoamshwa aliwafukuza na kuwaambia wasubiri hadi saa mbili yeye anapumzika.
Inadaiwa mtoto Johson alizidiwa mahira ya saa kumi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Hospitali kutoa huduma kwa mtandao
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, amesema wizara yake kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wataunganisha hospitali zote nchini kupata huduma ya matibabu kwa njia...
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Hospitali ya Amana yaanza kutoa huduma kwa njia ya mtandao
9 years ago
Mwananchi25 Nov
NYANZA: Kamati yaundwa kuchunguza tuhuma za daktari aliyegoma kutoa huduma
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA AGA KHAN YAADHIMISHA MWEZI WA UFAHAMU WA UGONJWA WA SARATANI YA MATITI DUNIANI KWA KUTOA BURE HUDUMA YA UPIMAJI
Mtaalamu wa Saratani katika hospitali hiyo, Dk.Amyn Alidina akizungumza na wanahabari kuhusu ugonjwa huo.
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wakala wa huduma za ajira Tanzania (TaESA) wamefanikiwa kutoa mafunzo kwa watafuta kazi 2146
Afisa Habari wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bi. Jamila Mbaruku akiewaeleza waandishi wa Habari( hawapo pichani) kuhusu kuhusu mikakati ya wakala wa huduma za ajira kusaidia wananchi wa tanzania kuingia katika ushindani wa soko la ajira nchini ikiwemo kutoa mafunzo kwa Watafuta kazi.Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Tawala wa Wakala hiyo Bw. Peter Ugata.
Afisa Tawala wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bw. Peter Ugata akitoa wito...
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Mwalimu afukuzwa kazi kwa kumshabikia Lowassa
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
MWALIMU wa Shule ya Sekondari Charlotte katika Manispaa ya Morogoro, Heriman Manase anadaiwa kuachishwa kazi akituhumiwa kujihusisha na masuala ya siasa kwa kumshabikia aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na vyama vilipo kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.
Inadaiwa kwamba mwalimu huyo alikuwa akimpigia debe Lowassa, ndani na nje ya shule hiyo.
Mwalimu huyo pia...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote
![](http://2.bp.blogspot.com/-3JZvsorUO9E/Vld4HZh5TrI/AAAAAAAAIPE/BHC6BibJMx0/s640/Ms%2BSangita%2BReddy.jpg)
Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.
Na Mwandishi Wetu ,
Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.
Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E92NZ9u9hco/VW-zVYDF_9I/AAAAAAAHb0M/73BUu8vW1nc/s72-c/172.jpg)
HOSPITALI YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR KUENDELEA KUTOA HUDUMA MASAA 24-THABIT KOMBO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-E92NZ9u9hco/VW-zVYDF_9I/AAAAAAAHb0M/73BUu8vW1nc/s320/172.jpg)
Wizara ya Afya Zanzibar imesema Kitengo cha Mifupa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kinaendelea kufanya kazi zake za kutoa Matibabu Masaa 24 kama kawaida kwa kufuata utaratibu maalum uliowekwa Hospitalini hapo.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo huko katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani wakati alipokuwa akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Jaku Hashim Ayoub aliyetaka kujua...