Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHEKALU YA MAASKOFU KUFURU

Stori: Jelard Lucas na Makongoro Oging’
MTU akifanya jambo la kupita kawaida lakini zuri watu husema ‘amekufuru’, yaani amefanya kitu kizuri! Imezoeleka hivyo. Sasa kauli hiyo imekuja baada ya Uwazi kufanya uchunguzi wa kina na kuyabaini mahekalu ya maaskofu wa Bongo kwamba nayo ni kufuru! Katika uchunguzi huo, Uwazi lilitumia muda wa wiki mbili na kubaini kwamba, watumishi hao wa Mungu wapo vizuri na lile...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kiama mahekalu ya vigogo ufukweni!

IMG_9840

Moja ya mjengo huo ulioko ufukweni.

ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
WAKATI zoezi la kutumbua majipu likiendelea kufanya kazi katika maeneo mbalimbali, safari hii kiama kinaelekea kuyakuta mahekalu ya vigogo yaliyojengwa kwa bei mbaya katika fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linaripoti.

Kwa mujibu wa duru za mazingira na kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, baada ya kuzidiwa na nguvu ya fedha kwa muda mrefu, majumba hayo yatabomolewa wakati...

 

9 years ago

Mtanzania

Hukumu’ ya mahekalu Dar kesho

lukuvi*Kesi ya kupinga bomoabomoa kunguruma mahakamani leo

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

HUKUMU ya nyumba za kifahari (mahekalu) zilizojengwa sehemu zisizoruhusiwa, inatarajiwa kuanza kutekelezwa kesho kama ilivyotangazwa na Serikali.

Hatua hiyo, inatokana na Serikali kusitisha bomoabomoa kwa kipindi cha wiki mbili, ili kutoa fursa kwa wakazi wa maeneo ya mabondeni kuhama na kutangaza kuwa zoezi hilo litaanza tena Januari 5, mwaka huu.

Miongoni mwa nyumba ambazo zimezua gumzo, ni ile...

 

9 years ago

Global Publishers

Bomoa bomoa mahekalu Dar, ripoti inatisha

1Tingatinga likiendelea na kazi ya ubomoaji.

HALI tete! Kufuatia Mahakama ya Ardhi, Dar kutengua bomoabomoa ya nyumba 674, bado ripoti inatisha kwa zile nyumba ambazo mahakama haikuzitambua na zile ambazo zilishabomolewa mwishoni mwa mwaka jana.

1222

Moja ya mjengo wa ukibomolewa.

Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa wengi waliokimbilia mahakamani, walikuwa wakisukumwa na baadhi ya vigogo wenye mahekalu yao maeneo ya Mbezi, Dar ambao walikuwa wanashindwa kujitokeza mstari wa mbele kwa kuhofia...

 

11 years ago

GPL

Aveva kufuru

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC. Omary Mdose na Said Ally
KAZI imeanza babake! Wakati Yanga wakiwa bize na mazoezi baada ya ujio wa Kocha Marcio Maximo, upande wa pili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, naye ameanza kuonyesha makali kwa vitendo. Aveva ambaye amechukua madaraka hivi karibuni, ameanza kwa kulipa mishahara ya wachezaji wote wa timu hiyo na benchi la ufundi,...

 

9 years ago

Mwananchi

Mshahara wa Messi kufuru

Manchester, England, Si mchezo! Ndivyo, inavyofaa kueleza mshahara wa Sh2.6 bilioni atakaolipwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi endapo ataamua kutua Manchester City.

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!

Stori: Shakoor Jongo
UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo,  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake. HABARI MEZANI
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti...

 

9 years ago

GPL

BETHIDEI YA WEMA KUFURU!

Mkurugenzi  wa Endless Fame Wema Sepetu akiwa amesimama mbele ya meza iliyokuwa imesheheni keki alizokuwa amendaliwa katika sherehe ya kuadhimisha   siku yake ya kuzaliwa iliyofanyikia ndani ya Ukumbi wa Wema Sepetu Hall, uliyopo ndani ya jengo jipya la Millenium Tower. Meneja wa Wema (kushoto), Martin Kadinda, akimsaidia kukata moja ya  keki zilizokuwa zimeandaliwa muda mfupi kabla ya kuanza kuwalisha ndungu jamaa na...

 

10 years ago

GPL

SHOPPING YA MTOTO WA DIAMOND KUFURU!

musa mateja KAMA ulishawahi kusikia neno kufuru na ukajua maana yake, basi ndiyo imefanywa na Mwanamuziki Bora wa Afrika Mashariki na Kati, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, baada ya kuteketeza mamilioni ya fedha kwa ajili ya kufanya ‘shopping’ ya nguo na vifaa mbalimbali vitakavyotumiwa na mwanaye ikiwa ni siku chache kabla mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari The Boss Lady’ kujifungua. ...

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA JACK DUSTAN KUFURU!

Imelda mtema Mrembo aliyepata jina kupitia Shindano la Maisha Plus, Season Two, Jacqueline Dustan amefanya kufuru kwenye pati yake ya kuzaliwa (bethidei) iliyofanyika kwenye Hoteli ya Peacock jijini Dar, wikiendi iliyopita. Jacqueline Dustan akiwa katika pozi. Sherehe hiyo iliyokuwa na vyakula na vinywaji vya kufa mtu, ilihudhuriwa na ‘mashosti’ mbalimbali wa Jack huku ikiendeshwa na mtangazaji maarufu Bongo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani