MAHEKALU YA MAASKOFU KUFURU
![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVegHFRFfNnN2d873o197T3GQ6ASfHOeSVtDNjj5pCRIToaLi-ocUjGs4OnfVrRSkiCusODYmCwLzd622zbExZfU/kufuruu.jpg?width=650)
Stori: Jelard Lucas na Makongoro Oging’ MTU akifanya jambo la kupita kawaida lakini zuri watu husema ‘amekufuru’, yaani amefanya kitu kizuri! Imezoeleka hivyo. Sasa kauli hiyo imekuja baada ya Uwazi kufanya uchunguzi wa kina na kuyabaini mahekalu ya maaskofu wa Bongo kwamba nayo ni kufuru! Katika uchunguzi huo, Uwazi lilitumia muda wa wiki mbili na kubaini kwamba, watumishi hao wa Mungu wapo vizuri na lile...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Kiama mahekalu ya vigogo ufukweni!
Moja ya mjengo huo ulioko ufukweni.
ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
WAKATI zoezi la kutumbua majipu likiendelea kufanya kazi katika maeneo mbalimbali, safari hii kiama kinaelekea kuyakuta mahekalu ya vigogo yaliyojengwa kwa bei mbaya katika fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linaripoti.
Kwa mujibu wa duru za mazingira na kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, baada ya kuzidiwa na nguvu ya fedha kwa muda mrefu, majumba hayo yatabomolewa wakati...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Hukumu’ ya mahekalu Dar kesho
*Kesi ya kupinga bomoabomoa kunguruma mahakamani leo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
HUKUMU ya nyumba za kifahari (mahekalu) zilizojengwa sehemu zisizoruhusiwa, inatarajiwa kuanza kutekelezwa kesho kama ilivyotangazwa na Serikali.
Hatua hiyo, inatokana na Serikali kusitisha bomoabomoa kwa kipindi cha wiki mbili, ili kutoa fursa kwa wakazi wa maeneo ya mabondeni kuhama na kutangaza kuwa zoezi hilo litaanza tena Januari 5, mwaka huu.
Miongoni mwa nyumba ambazo zimezua gumzo, ni ile...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Bomoa bomoa mahekalu Dar, ripoti inatisha
Tingatinga likiendelea na kazi ya ubomoaji.
HALI tete! Kufuatia Mahakama ya Ardhi, Dar kutengua bomoabomoa ya nyumba 674, bado ripoti inatisha kwa zile nyumba ambazo mahakama haikuzitambua na zile ambazo zilishabomolewa mwishoni mwa mwaka jana.
Moja ya mjengo wa ukibomolewa.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa wengi waliokimbilia mahakamani, walikuwa wakisukumwa na baadhi ya vigogo wenye mahekalu yao maeneo ya Mbezi, Dar ambao walikuwa wanashindwa kujitokeza mstari wa mbele kwa kuhofia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGav9leVUvMnPAuZwESFx0SGR1*bUQqXjyBragZpbcthB3JkMPfdjkwOZpjDchUiIR4csZl1sxAb3ABPCE4MOiKk/11.gif?width=650)
Aveva kufuru
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mshahara wa Messi kufuru
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-bolz0a9UsBLHMSIhHUpH7X0ZvYVO2WBCuus72pD3FpkcIGDrMW7lM5OauqPA-NjWsMNmZIAeJ*5z-xLlI6YN3/masanja.jpg?width=650)
UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!
9 years ago
GPLBETHIDEI YA WEMA KUFURU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOgF-*3tnGrVHl5d2su10qU-cIRCgbyM4kMwycEFXn5iDWwZk-nj6j3pcuv4dp0aDELLFlsJjdE0o00faRryVYiR/1.jpg?width=650)
SHOPPING YA MTOTO WA DIAMOND KUFURU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXVpdDNYzUy1P-s7fL0xJkh5B3Ajn1-NBqSupvpms04ER0t329VYXAHUhtjaGZb9*DnA8iaDXBNCSu9Bqif5F51S/yete.jpg?width=650)
BETHIDEI YA JACK DUSTAN KUFURU!