Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiama mahekalu ya vigogo ufukweni!

IMG_9840

Moja ya mjengo huo ulioko ufukweni.

ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
WAKATI zoezi la kutumbua majipu likiendelea kufanya kazi katika maeneo mbalimbali, safari hii kiama kinaelekea kuyakuta mahekalu ya vigogo yaliyojengwa kwa bei mbaya katika fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linaripoti.

Kwa mujibu wa duru za mazingira na kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, baada ya kuzidiwa na nguvu ya fedha kwa muda mrefu, majumba hayo yatabomolewa wakati...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAHEKALU YA MAASKOFU KUFURU

Stori: Jelard Lucas na Makongoro Oging’
MTU akifanya jambo la kupita kawaida lakini zuri watu husema ‘amekufuru’, yaani amefanya kitu kizuri! Imezoeleka hivyo. Sasa kauli hiyo imekuja baada ya Uwazi kufanya uchunguzi wa kina na kuyabaini mahekalu ya maaskofu wa Bongo kwamba nayo ni kufuru! Katika uchunguzi huo, Uwazi lilitumia muda wa wiki mbili na kubaini kwamba, watumishi hao wa Mungu wapo vizuri na lile...

 

9 years ago

Mtanzania

Hukumu’ ya mahekalu Dar kesho

lukuvi*Kesi ya kupinga bomoabomoa kunguruma mahakamani leo

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

HUKUMU ya nyumba za kifahari (mahekalu) zilizojengwa sehemu zisizoruhusiwa, inatarajiwa kuanza kutekelezwa kesho kama ilivyotangazwa na Serikali.

Hatua hiyo, inatokana na Serikali kusitisha bomoabomoa kwa kipindi cha wiki mbili, ili kutoa fursa kwa wakazi wa maeneo ya mabondeni kuhama na kutangaza kuwa zoezi hilo litaanza tena Januari 5, mwaka huu.

Miongoni mwa nyumba ambazo zimezua gumzo, ni ile...

 

9 years ago

Global Publishers

Bomoa bomoa mahekalu Dar, ripoti inatisha

1Tingatinga likiendelea na kazi ya ubomoaji.

HALI tete! Kufuatia Mahakama ya Ardhi, Dar kutengua bomoabomoa ya nyumba 674, bado ripoti inatisha kwa zile nyumba ambazo mahakama haikuzitambua na zile ambazo zilishabomolewa mwishoni mwa mwaka jana.

1222

Moja ya mjengo wa ukibomolewa.

Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa wengi waliokimbilia mahakamani, walikuwa wakisukumwa na baadhi ya vigogo wenye mahekalu yao maeneo ya Mbezi, Dar ambao walikuwa wanashindwa kujitokeza mstari wa mbele kwa kuhofia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo aanzia kazi ufukweni

KOCHA Marcio Maximo, jana alianza kazi ya kuinoa timu hiyo katika mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliyoanza jana majira ya saa 1:00 hadi saa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji mpira wa ufukweni

Tanzania imechaguliwa na shirikisho la mpira wa wavu Afrika kuwa wenyeji wa michuano ya kanda ya Tano ya mpira wa wavu ufukweni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzoga wa nyangumi wapatikana ufukweni

Mzoga wa nyangumi umepatikana ufukweni nje ya mji Capetown Afrika Kusini.

 

10 years ago

Michuzi

MDAU AKIPUNGA UPEPO UFUKWENI

Kamera ya Globu ya Jamii katika pita pita zake imefanikiwa kuinasa Taswira ya mdau huyu akiwa kaketi kwenye kiti chake huku pembeni akiwa kaegesha usafiri wake wakati akipunga upepo katika ufukwe wa bahari ya Hindi,jijini Dar jioni hii.

 

9 years ago

Global Publishers

Denti chupuchupu kubakwa ufukweni

IMG_1317

Maria akisitilia na marafiki zake baada ya kunusurika kubakwa.

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
SIKUKUU NOMA! Zikiwa zimepita siku chache baada ya Sikukuu ya Krismasi kupita, imeacha matukio ya hatari ambapo denti wa Shule ya Zanaki, Dar aliyejulikana kwa jina moja la Maria alinusurika kubakwa katika Ufukwe wa Coco Beach.

Tukio hilo lilinaswa na kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM), siku ya ‘Boxing day’ ambapo denti huyo alinusurika kubakwa na wanaume wakware waliokuwa wakimzengea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Ufukweni kanda ya 5 yatajwa

Makundi ya kufuzu kucheza michezo ya Afrika (All Africa Games) ya mpira wa wavu ya ufukweni kanda ya 5 yametajwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani