MDAU AKIPUNGA UPEPO UFUKWENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RLb1JJ9HCxs/VBw1HrGyoII/AAAAAAAGkho/jDQ0JMsF0-g/s72-c/DSCF9015.jpg)
Kamera ya Globu ya Jamii katika pita pita zake imefanikiwa kuinasa Taswira ya mdau huyu akiwa kaketi kwenye kiti chake huku pembeni akiwa kaegesha usafiri wake wakati akipunga upepo katika ufukwe wa bahari ya Hindi,jijini Dar jioni hii.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Maximo aanzia kazi ufukweni
KOCHA Marcio Maximo, jana alianza kazi ya kuinoa timu hiyo katika mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliyoanza jana majira ya saa 1:00 hadi saa...
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Mzoga wa nyangumi wapatikana ufukweni
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Kiama mahekalu ya vigogo ufukweni!
Moja ya mjengo huo ulioko ufukweni.
ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
WAKATI zoezi la kutumbua majipu likiendelea kufanya kazi katika maeneo mbalimbali, safari hii kiama kinaelekea kuyakuta mahekalu ya vigogo yaliyojengwa kwa bei mbaya katika fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linaripoti.
Kwa mujibu wa duru za mazingira na kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, baada ya kuzidiwa na nguvu ya fedha kwa muda mrefu, majumba hayo yatabomolewa wakati...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Tanzania mwenyeji mpira wa ufukweni
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Denti chupuchupu kubakwa ufukweni
Maria akisitilia na marafiki zake baada ya kunusurika kubakwa.
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
SIKUKUU NOMA! Zikiwa zimepita siku chache baada ya Sikukuu ya Krismasi kupita, imeacha matukio ya hatari ambapo denti wa Shule ya Zanaki, Dar aliyejulikana kwa jina moja la Maria alinusurika kubakwa katika Ufukwe wa Coco Beach.
Tukio hilo lilinaswa na kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM), siku ya ‘Boxing day’ ambapo denti huyo alinusurika kubakwa na wanaume wakware waliokuwa wakimzengea...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Michuano ya Ufukweni kanda ya 5 yatajwa
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Marufuku hoteli kutoza fedha ufukweni
Na Grace Shitundu , Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewataka wawekezaji wa hoteli zilizopo pembezoni mwa bahari...
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni