Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney

Mtoto mchanga ameokotwa baada ya kukutwa amefukiwa na mchanga katika ufukwe, mjini Sydney

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CHETI CHA KUZALIWA CHENYE JINA LA YUSRAH CHAOKOTWA

Cheti cha kuzaliwa chenye jina la Yusrah (mwanaume) ambaye baba yake ni Khalid Suleiman Khalid, kimeokotwa na maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam na kipo Global Publishers Bamaga Mwenge,  Mwenye cheti afike na vitambulisho vyake kukichukua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka Sydney

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka na mtu mmoja au zaidi wenye silaja katika mgahawa wa Lindt mjini Sydney, Australia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney

Watu watatu wameripotiwa kufa baada ya makomandoo kuvamia mkahawa ambao mtu mwenye silaha aliwashikilia mateka watu kadha

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney

Maafisa nchini Australia wamesitisha zoezi la kumtafuta mzee mmoja aliyeanguka baharini mashariki mwa mji wa Sydney.

 

11 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Let’s help our girls make it to Sydney 2015

>In two months or so, Taifa Queens will launch their campaign for a place in next year’s World Cup finals in Sydney, Australia.

 

10 years ago

GPL

MAKOMANDO WAWAOKOA MATEKA SYDNEY, WAMUUA MTEKAJI

Huyu ndiye mtekaji raia wa Iran, Haron Monis. WATU watatu wameuawa akiwemo mtekaji raia wa Iran, Haron Monis aliyekuwa ameteka watu kwa zaidi ya saa 16 katika mgahawa mmoja jijini Sydney nchini Australia jana baada ya Makomando kuvamia eneo hilo. Watu wanne akiwemo polisi wamejeruhiwa wakati wa zoezi la uokoaji. Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. Mtekaji huyo alikuwa ameachiwa kwa dhamana kwa makosa...

 

10 years ago

GPL

MTE MWENYE SILAHA AZIDI KUWASHIKILIA MATEKA KWENYE MGAHAWA JIJINI SYDNEY

Polisi wakimpokea mmoja wa mateka kutoka katika mgahawa wa Lindt jijini Sydney. MTU mmoja mwenye silaha bado anaendelea kuwashikilia wafanyakazi na wateja katika mgahawa wa Lindt uliopo jijini Sydney nchini Australia. Mateka ndani ya mgahawa huo wakiwa wameshika bendera yenye maandishi ya Kiarabu. Baadhi ya watu ndani ya jengo hilo wameonekana kupitia madirisha wakiwa wamebeba bendera nyeusi zenye maneno ya… ...

 

5 years ago

The Guardian

'It isn't Mad Max': Police warning after shoppers brawl over toilet paper in Sydney

'It isn't Mad Max': Police warning after shoppers brawl over toilet paper in Sydney  The GuardianCouple accidentally ordered 2,000 toilet rolls and make them into throne as virus panic buying hits Australia  The SunCoronavirus: Toilet paper argument turns violent | Nine News Australia  Nine News AustraliaMan tasered after fight over toilet paper as coronavirus tensions grow  Evening StandardMoment man selling rolls of toilet paper for $100 EACH amid coronavirus fears is exposed  Daily...

 

10 years ago

GPL

MWILI WA KICHANGA WAOKOTWA

Mwili wa kichanga cha jinsia ya kike ulioanza kuaribika umeokotwa leo majira ya saa nane mchana katika eneo la Ukonga Sabasaba Kwa Diofu, kwenye shamba la mzee Msindo. (Habari/Picha: Global Whatsapp +255 753 715…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani