Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney
Mtoto mchanga ameokotwa baada ya kukutwa amefukiwa na mchanga katika ufukwe, mjini Sydney
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxjHVQwy7Z*jxUXmnYJKrTQZnUm0mUi5s8O0Z9lOe2FpZF6HTVg*xj-ETiU2Yn4X0R6JtsifSx-yMW6X*u8Lp*F6/khalid.jpg?width=650)
CHETI CHA KUZALIWA CHENYE JINA LA YUSRAH CHAOKOTWA
Cheti cha kuzaliwa chenye jina la Yusrah (mwanaume) ambaye baba yake ni Khalid Suleiman Khalid, kimeokotwa na maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam na kipo Global Publishers Bamaga Mwenge, Mwenye cheti afike na vitambulisho vyake kukichukua.
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Watu kadhaa wanashikiliwa mateka Sydney
Watu kadhaa wanashikiliwa mateka na mtu mmoja au zaidi wenye silaja katika mgahawa wa Lindt mjini Sydney, Australia.
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney
Watu watatu wameripotiwa kufa baada ya makomandoo kuvamia mkahawa ambao mtu mwenye silaha aliwashikilia mateka watu kadha
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney
Maafisa nchini Australia wamesitisha zoezi la kumtafuta mzee mmoja aliyeanguka baharini mashariki mwa mji wa Sydney.
11 years ago
TheCitizen05 Jul
EDITORIAL: Let’s help our girls make it to Sydney 2015
>In two months or so, Taifa Queens will launch their campaign for a place in next year’s World Cup finals in Sydney, Australia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCtEm6Tgr7A6a1K16z154x1EIqo6by6GVXa38BYPwuNROuiG95oSg3gv3lk0R4RcxkA2thS7cV1Q1Nefv1QYSnSy/MONIS.jpg)
MAKOMANDO WAWAOKOA MATEKA SYDNEY, WAMUUA MTEKAJI
Huyu ndiye mtekaji raia wa Iran, Haron Monis. WATU watatu wameuawa akiwemo mtekaji raia wa Iran, Haron Monis aliyekuwa ameteka watu kwa zaidi ya saa 16 katika mgahawa mmoja jijini Sydney nchini Australia jana baada ya Makomando kuvamia eneo hilo. Watu wanne akiwemo polisi wamejeruhiwa wakati wa zoezi la uokoaji. Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. Mtekaji huyo alikuwa ameachiwa kwa dhamana kwa makosa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXiKii5t5tvXkMo-qHZQWNRHa*399yDlBLaG*YJThjWMgicOqklWbbF0G6riNX7XLNCJFoFJTuDiQBt9wMd45insOyDIcl*J/MATEKA.jpg)
MTE MWENYE SILAHA AZIDI KUWASHIKILIA MATEKA KWENYE MGAHAWA JIJINI SYDNEY
Polisi wakimpokea mmoja wa mateka kutoka katika mgahawa wa Lindt jijini Sydney. MTU mmoja mwenye silaha bado anaendelea kuwashikilia wafanyakazi na wateja katika mgahawa wa Lindt uliopo jijini Sydney nchini Australia. Mateka ndani ya mgahawa huo wakiwa wameshika bendera yenye maandishi ya Kiarabu. Baadhi ya watu ndani ya jengo hilo wameonekana kupitia madirisha wakiwa wamebeba bendera nyeusi zenye maneno ya… ...
5 years ago
The Guardian07 Mar
'It isn't Mad Max': Police warning after shoppers brawl over toilet paper in Sydney
'It isn't Mad Max': Police warning after shoppers brawl over toilet paper in Sydney The GuardianCouple accidentally ordered 2,000 toilet rolls and make them into throne as virus panic buying hits Australia The SunCoronavirus: Toilet paper argument turns violent | Nine News Australia Nine News AustraliaMan tasered after fight over toilet paper as coronavirus tensions grow Evening StandardMoment man selling rolls of toilet paper for $100 EACH amid coronavirus fears is exposed Daily...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slei*8RekFrQMecMP*YbQbqXAZMWGw-AC3joI7IAQcVJjf0Ph5rRbv2xQM4Wr2cq1ZxIzpDBYJVOr1p7*t5*h6BH/IMG20141212WA0014.jpg?width=650)
MWILI WA KICHANGA WAOKOTWA
Mwili wa kichanga cha jinsia ya kike ulioanza kuaribika umeokotwa leo majira ya saa nane mchana katika eneo la Ukonga Sabasaba Kwa Diofu, kwenye shamba la mzee Msindo. (Habari/Picha: Global Whatsapp +255 753 715…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania