MTE MWENYE SILAHA AZIDI KUWASHIKILIA MATEKA KWENYE MGAHAWA JIJINI SYDNEY
![](http://api.ning.com:80/files/zXiKii5t5tvXkMo-qHZQWNRHa*399yDlBLaG*YJThjWMgicOqklWbbF0G6riNX7XLNCJFoFJTuDiQBt9wMd45insOyDIcl*J/MATEKA.jpg)
Polisi wakimpokea mmoja wa mateka kutoka katika mgahawa wa Lindt jijini Sydney. MTU mmoja mwenye silaha bado anaendelea kuwashikilia wafanyakazi na wateja katika mgahawa wa Lindt uliopo jijini Sydney nchini Australia. Mateka ndani ya mgahawa huo wakiwa wameshika bendera yenye maandishi ya Kiarabu. Baadhi ya watu ndani ya jengo hilo wameonekana kupitia madirisha wakiwa wamebeba bendera nyeusi zenye maneno ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Watu kadhaa wanashikiliwa mateka Sydney
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCtEm6Tgr7A6a1K16z154x1EIqo6by6GVXa38BYPwuNROuiG95oSg3gv3lk0R4RcxkA2thS7cV1Q1Nefv1QYSnSy/MONIS.jpg)
MAKOMANDO WAWAOKOA MATEKA SYDNEY, WAMUUA MTEKAJI
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Mtu mwenye silaha akamatwa Ufaransa
10 years ago
VijimamboGRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Bomu larushwa kwenye mgahawa Arusha, wanane wajeruhiwa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s72-c/sophia%2B13.jpg)
SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK
![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s1600/sophia%2B13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T5vYBUU3jYg/VI2RNI_v_lI/AAAAAAADR1g/sSt0i6hrnrE/s1600/sophia%2B8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9rbzP8ky3oI/VI2RKOXbR3I/AAAAAAADR0o/iMKNfs4y4WU/s1600/Sophia%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h79jAC2F-rg/VI2RKA84GgI/AAAAAAADR0g/7y8ih5Zfohg/s1600/Sophia%2B11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3c_XxNcb2o/VI2RKvnJb-I/AAAAAAADR08/IISJRVPCkQ4/s1600/Sophia.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Nov
KFC wafungua mgahawa mpya eneo la Kariakoo jijini Dar
10 years ago
Bongo513 Dec
Picha: Mgahawa mpya ‘VVK’ wa Khadija Mwanamboka wazinduliwa jijini Dar
9 years ago
Bongo521 Nov
27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali
![2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182-300x194.jpg)
Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.
Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.
Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.
Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.
Kundi la...