Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTE MWENYE SILAHA AZIDI KUWASHIKILIA MATEKA KWENYE MGAHAWA JIJINI SYDNEY

Polisi wakimpokea mmoja wa mateka kutoka katika mgahawa wa Lindt jijini Sydney. MTU mmoja mwenye silaha bado anaendelea kuwashikilia wafanyakazi na wateja katika mgahawa wa Lindt uliopo jijini Sydney nchini Australia. Mateka ndani ya mgahawa huo wakiwa wameshika bendera yenye maandishi ya Kiarabu. Baadhi ya watu ndani ya jengo hilo wameonekana kupitia madirisha wakiwa wamebeba bendera nyeusi zenye maneno ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka Sydney

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka na mtu mmoja au zaidi wenye silaja katika mgahawa wa Lindt mjini Sydney, Australia.

 

10 years ago

GPL

MAKOMANDO WAWAOKOA MATEKA SYDNEY, WAMUUA MTEKAJI

Huyu ndiye mtekaji raia wa Iran, Haron Monis. WATU watatu wameuawa akiwemo mtekaji raia wa Iran, Haron Monis aliyekuwa ameteka watu kwa zaidi ya saa 16 katika mgahawa mmoja jijini Sydney nchini Australia jana baada ya Makomando kuvamia eneo hilo. Watu wanne akiwemo polisi wamejeruhiwa wakati wa zoezi la uokoaji. Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. Mtekaji huyo alikuwa ameachiwa kwa dhamana kwa makosa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtu mwenye silaha akamatwa Ufaransa

Mtu aliyekuwa amejihami vikali ameshindwa nguvu na abiria kwenye treni moja ya mwendo wa kasi nchini Ufaransa

 

10 years ago

Vijimambo

GRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV

Mtoto Grace Magori mwenye umri wa miaka 12 ambaye yupo 6 grade (darasa la 6) Columbia, Maryland mchini Marekani anazidi kupaa baada ya siku ya Jumamosi Novemba 15, 20`14 kuimba kwenye onyesho lililobeba jina la "Studio Recital" katika uimbaji huo ambo Grace Magori ndio mtoto pekee aliyeimba nyimbo alizoandika na kuzitengeneza yeye mwenyewe. Watoto wengine waliokuwepo kwenye onesho hilo ni  Jack Zhao aliyeimba wimbo wa mahadhi ya Kihindi, Cindy Zhao aliyeimba wimbo wa Willie and Tillie- Swan...

 

11 years ago

Mwananchi

Bomu larushwa kwenye mgahawa Arusha, wanane wajeruhiwa

>Watu nane wamejeruhiwa, mmoja kati yao vibaya baada ya watu wasiofahamika kurusha bomu katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine uliopo karibu na Mahakama Kuu jijini Arusha.

 

10 years ago

Vijimambo

SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK

Sophia mkazi wa DMV akiwa ndani ya mgahawa wa Saphire uliopo Harlem, Lenox New York siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 aliposherehekea siku yake ya kuzaliwa ndani ya jiji la wasiolala.Sophia(kulia) akiwa na ndugu zake siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 alipokua jiji la wasiolala kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.Sophia akiwa ndani ya mgahawa wa Saphire uliopo Harlem, Lenox New York akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Sophia akipata picha ya pamoja na BahiaKutoka kushoto ni Issa, Farida,...

 

9 years ago

Dewji Blog

KFC wafungua mgahawa mpya eneo la Kariakoo jijini Dar

  Mkurugenzi mkuu wa KFC nchini Tanzania, Louis Venter(kushoto) akikata utepe wakati wa ufunguzi wa tawi la KFC eneo  la Kariakoo jijini Dar ambapo waliweza kusherekea na watoto wenye mahitaji maalumu wa shule ya msingi ya Uhuru Mchanganyiko. Mkurugenzi mkuu wa KFC nchini Tanzania, Louis Venter akiwakaribisha wageni waalikwa pamoja na kuzungumza jambo wakati wa ufunguzi wa Mgahawa wa KFC eneo la Kariakoo jijini Dar Mkurugenzi mkuu wa KFC nchini Tanzania, LOuis Venter(katikati) akimkabidhi...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mgahawa mpya ‘VVK’ wa Khadija Mwanamboka wazinduliwa jijini Dar

Mbunifu wa mavazi, Khadija Mwanamboka amezindua mgahawa mpya uitwao VVK pamoja na super market itakayokuwa inatoa huduma ya chakula cha aina mbalimbali pamoja na kuandaa events. Mteja akifanya shopping ndani ya VVK Super Market Akizungumza na Bongo5 jana Kinondoni jijini Dar es salaam, Khadija alisema mgahawa huo pia utakuwa unasambaza chakula kwa order maalum kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani