27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali
Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.
Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.
Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.
Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.
Kundi la...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 May
Watu 17 wauawa nchini Mali
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Watu 9 wauawa kwa kupigwa risasi kwenye chuo nchini Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2Z4WSwoQc0EI*eoI61w8rmKjyP4XcXc9*PYNnA84k4j8c9qLe*X4CS9cG-q3EqHv6f2PXH55Qg6s6yMkQ7pvApH/606x340_303591.jpg?width=650)
MATEKA WA UHOLANZI NCHINI MALI AOKOLEWA NA WAFARANSA
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Uvamizi wa hoteli nchini Mali
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
11 wauawa kwenye mapigano Mali
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
kumi wauawa nchini Mali
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waasi 11 wauawa nchini Mali
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Watu 28 wauawa nchini China