Waasi 11 wauawa nchini Mali
Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 May
Waasi nchini Mali wasitisha vita
11 years ago
BBCSwahili19 May
Watu 17 wauawa nchini Mali
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
kumi wauawa nchini Mali
9 years ago
Bongo521 Nov
27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali
![2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182-300x194.jpg)
Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.
Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.
Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.
Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.
Kundi la...
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Serikali na waasi kuafikiana Mali
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Waasi 100 wauawa Kordofan,Sudan