Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi 11 wauawa nchini Mali

Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waasi nchini Mali wasitisha vita

Waasi nchini Mali wamekubali kusitisha vita siku mbili baada ya kuvishinda vikosi vya serikali katika mji wa kazkazini wa kidal.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 17 wauawa nchini Mali

Kuna hali ya wasiwasi mjini Kidal Kaskazini mwa Mali ambapo takriban watu 17 wameuawa katika mapigano ya siku tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

kumi wauawa nchini Mali

Jeshi nchini Mali limesema zaidi ya watu kumi wameuawa katika shambulio moja kwenye mji wa Gaberi kaskazini mwa nchini humo .

 

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S

Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi

Mashahidi kadhaa wameiambia BBC kuwa Wanajeshi wa Burundi wamewaua waasi waliojisalimisha kwa Jeshi la nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakubaliana na waasi Mali

Serikali na Waasi nchini Mali wakubaliana kumaliza mapigano Mali

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali na waasi kuafikiana Mali

Serikali ya Mali na makundi sita ya wanamgambo wanatarajiwa kutia sahihi makubaliano ya amani yenye nia ya kuleta utulivu .

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi 100 wauawa Kordofan,Sudan

Jeshi nchini Sudan linasema kuwa limewaua zaidi ya waasi 100 kwenye jimbo la Kordofan Kusini ingawa waasi wamekana madai hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani