Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kumi wauawa nchini Mali

Jeshi nchini Mali limesema zaidi ya watu kumi wameuawa katika shambulio moja kwenye mji wa Gaberi kaskazini mwa nchini humo .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Watu 17 wauawa nchini Mali

Kuna hali ya wasiwasi mjini Kidal Kaskazini mwa Mali ambapo takriban watu 17 wameuawa katika mapigano ya siku tatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi 11 wauawa nchini Mali

Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.

 

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

10 years ago

BBCSwahili

11 wauawa kwenye mapigano Mali

Takriban watu 11 wameuawa Magharibi mwa Mali wakati wa mapigano kati ya wapiganaji wa kiislamu na jeshi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mali:Wanajeshi 2 wa kulinda amani wauawa

Wanajeshi wawili wa kulinda amani raia wa Burkina Farso katika shirika la Umoja wa Mataifa wameuawa na saba wengine kujeruhiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

24 wauawa nchini libya

Makabiliano makali nchini Libya yamesababisha vifo vya watu 24 baada ya jeshi la angani la taifa hilo kuanzisha mashambulizi.

 

11 years ago

BBCSwahili

69 wauawa vijijini nchini Nigeria

Takriban watu 69 wameuawa katika shambulizi dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Katsina , Kaskazini Magharibi mwa Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 28 wauawa nchini China

kundi moja la watu waliojihami kwa visu limewauawa takriban watu 28 katika kituo kimoja cha treni huko Kunming.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 30 wauawa nchini Ukraine

Takriban wapiganaji 30 wanaounga mkono Urusi,wameuawa katika mapigano yaliyozuka katika uwanja wa ndege mjini Donetsk,Mashariki mwa Ukraine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani