kumi wauawa nchini Mali
Jeshi nchini Mali limesema zaidi ya watu kumi wameuawa katika shambulio moja kwenye mji wa Gaberi kaskazini mwa nchini humo .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 May
Watu 17 wauawa nchini Mali
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waasi 11 wauawa nchini Mali
9 years ago
Bongo521 Nov
27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali
![2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182-300x194.jpg)
Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.
Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.
Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.
Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.
Kundi la...
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
11 wauawa kwenye mapigano Mali
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Mali:Wanajeshi 2 wa kulinda amani wauawa
11 years ago
BBCSwahili17 May
24 wauawa nchini libya
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
69 wauawa vijijini nchini Nigeria
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Watu 28 wauawa nchini China
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wapiganaji 30 wauawa nchini Ukraine