Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


11 wauawa kwenye mapigano Mali

Takriban watu 11 wameuawa Magharibi mwa Mali wakati wa mapigano kati ya wapiganaji wa kiislamu na jeshi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

11 years ago

BBCSwahili

10 wauawa katika mapigano Somalia

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika makabiliano kati ya wanajeshi wa serikali na wapiganaji wanaounga mkono utawala wa muda wa eneo la Buulo Haawo

 

11 years ago

BBCSwahili

35 wauawa CAR mapigano yakichacha

Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu imesema kuwa watu 35 wameuawa katika mji mkuu, Bangui katika kipindi cha siku tatu zilizopita

 

9 years ago

GPL

WATU 20 WAUAWA KATIKA MAPIGANO BANGUI

Vijana wakiziba barabara kwa kuchoma matairi. Daktari mmoja wa jeshi ameiambia shirika la habari la AFP kuwa zaidi ya watu 100 walijeruhiwa katika makabiliano baina ya waislamu na wakristu katika eneo la PK-5. Wenyeji wa Bangui wakitoroka makwao kufuatia ghasia hizo. Makabiliano hayo yalitibuka baada ya mauaji ya mwendesha bodaboda ambaye alikuwa ni muislamu.
Eneo hilo la PK-5 ndilo lililokuwa chimbuko la mapaigano ya wenyewe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 17 wauawa nchini Mali

Kuna hali ya wasiwasi mjini Kidal Kaskazini mwa Mali ambapo takriban watu 17 wameuawa katika mapigano ya siku tatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi 11 wauawa nchini Mali

Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

kumi wauawa nchini Mali

Jeshi nchini Mali limesema zaidi ya watu kumi wameuawa katika shambulio moja kwenye mji wa Gaberi kaskazini mwa nchini humo .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mali:Wanajeshi 2 wa kulinda amani wauawa

Wanajeshi wawili wa kulinda amani raia wa Burkina Farso katika shirika la Umoja wa Mataifa wameuawa na saba wengine kujeruhiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

7 wauawa kwenye mgogoro wa ardhi TZ

Watu saba wameuwa na wengine wamejeruhiwa katika mapigano ya jamii za wakulima na Wafugaji mkoani Manyara nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani