10 wauawa katika mapigano Somalia
Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika makabiliano kati ya wanajeshi wa serikali na wapiganaji wanaounga mkono utawala wa muda wa eneo la Buulo Haawo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFVo24F1Z77Cadjwnd5MxhdFAQbeYt8klsYyBshIMvBk-RFWMXphCURMtfZtZ6z5VRiNESeLV2tFzcFfHq8tyEmr/140529191101_car_bangui_640x360__nocredit.jpg?width=650)
WATU 20 WAUAWA KATIKA MAPIGANO BANGUI
Vijana wakiziba barabara kwa kuchoma matairi. Daktari mmoja wa jeshi ameiambia shirika la habari la AFP kuwa zaidi ya watu 100 walijeruhiwa katika makabiliano baina ya waislamu na wakristu katika eneo la PK-5. Wenyeji wa Bangui wakitoroka makwao kufuatia ghasia hizo. Makabiliano hayo yalitibuka baada ya mauaji ya mwendesha bodaboda ambaye alikuwa ni muislamu.
Eneo hilo la PK-5 ndilo lililokuwa chimbuko la mapaigano ya wenyewe...
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Watu 3 wauawa katika vita Somalia
Mapigano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo katikati ya Somali yamesababisha vifo vya watu watatu.
5 years ago
CCM Blog25 May
WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
![Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa Somalia](https://media.parstoday.com/image/4bsf62bea2a6c61djed_800C450.jpg)
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
11 wauawa kwenye mapigano Mali
Takriban watu 11 wameuawa Magharibi mwa Mali wakati wa mapigano kati ya wapiganaji wa kiislamu na jeshi
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
35 wauawa CAR mapigano yakichacha
Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu imesema kuwa watu 35 wameuawa katika mji mkuu, Bangui katika kipindi cha siku tatu zilizopita
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Je mapigano ya Jubaland na serikali ya Somalia yanaweza kuwaingiza zaidi Alshabab Kenya?
Hali ya utulivu imerejea katika eneo la Mandera kaskazini mwa Kenya baada ya mapigano makali yaliyotokea Jumatatu kati ya wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa eneo la Jubaland.
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia
Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 7 wauawa Somalia
Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia
Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania