Watu 17 wauawa nchini Mali
Kuna hali ya wasiwasi mjini Kidal Kaskazini mwa Mali ambapo takriban watu 17 wameuawa katika mapigano ya siku tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Nov
27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali
![2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182-300x194.jpg)
Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.
Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.
Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.
Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.
Kundi la...
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
kumi wauawa nchini Mali
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waasi 11 wauawa nchini Mali
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Watu 28 wauawa nchini China
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Watu tisa wauawa nchini Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KWPY3KRntMw1ZMVdkloCGb3ULGT4Pmq3kiy1Qga7VZF8EbnvWXETWLmwWKRbYhUNKpsfUzreixs3i56lQrSmprxf5yBUBxtR/mandera.jpg)
WATU 14 WAUAWA NA AL-SHABAAB NCHINI KENYA
11 years ago
BBCSwahili18 May
Watu 70 wauawa katika vita nchini Libya
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini