Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S

Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waasi 11 wauawa nchini Mali

Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi

Mashahidi kadhaa wameiambia BBC kuwa Wanajeshi wa Burundi wamewaua waasi waliojisalimisha kwa Jeshi la nchi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi 100 wauawa Kordofan,Sudan

Jeshi nchini Sudan linasema kuwa limewaua zaidi ya waasi 100 kwenye jimbo la Kordofan Kusini ingawa waasi wamekana madai hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari na Waasi wauawa kwa Bomu Syria

Waasi nchini Syria na askari wa usalama wameripotiwa kuuawa katika mapigano katika mji ulio kaskazini mwa Nchi hiyo, Aleppo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Takriban watu 100 wauawa Iraq

Inahofiwa kuwa takriban watu 100 wakiwemo watoto kadha wameuawa kwenye shambulizi la bomu mashariki mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa,na walinzi wauawa katika jela Iraq

Askari polisi kadhaa wa Iraq pamoja na wafungwa karibia 30, wameuawa, wakati wafungwa zaidi ya 50 walipotoroka jela

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq

Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala

 

10 years ago

GPL

ASKARI WANANE WA IRAQ WAUAWA KWA KUWAPELELEZA ISIS

Mateka wakiwa wamepigishwa magoti tayari kwa kuuawa. Mateka wakipelekwa sehemu ya kuadhibiwa kwa ujasusi dhidi ya ISIS.…

 

10 years ago

Habarileo

IGP apangua makamanda

Inspekta Jenerali wa Polisi, IGP Ernest ManguINSPEKTA Jenerali wa Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani