Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S
Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waasi 11 wauawa nchini Mali
Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi
Mashahidi kadhaa wameiambia BBC kuwa Wanajeshi wa Burundi wamewaua waasi waliojisalimisha kwa Jeshi la nchi hiyo.
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Waasi 100 wauawa Kordofan,Sudan
Jeshi nchini Sudan linasema kuwa limewaua zaidi ya waasi 100 kwenye jimbo la Kordofan Kusini ingawa waasi wamekana madai hayo.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Askari na Waasi wauawa kwa Bomu Syria
Waasi nchini Syria na askari wa usalama wameripotiwa kuuawa katika mapigano katika mji ulio kaskazini mwa Nchi hiyo, Aleppo.
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Takriban watu 100 wauawa Iraq
Inahofiwa kuwa takriban watu 100 wakiwemo watoto kadha wameuawa kwenye shambulizi la bomu mashariki mwa Iraq
10 years ago
BBCSwahili09 May
Wafungwa,na walinzi wauawa katika jela Iraq
Askari polisi kadhaa wa Iraq pamoja na wafungwa karibia 30, wameuawa, wakati wafungwa zaidi ya 50 walipotoroka jela
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq
Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdg3z6quiFJ74ppqPXzk5GAI9L8ZZwvLYEtQDrc1n3Uoj8vL4Kg*y4XxPwr7Yly0cQd1oGzm8TbsDKJLZmtu7RBW/246FC8B2000005782897672imagea2_1420494615258.jpg?width=750)
ASKARI WANANE WA IRAQ WAUAWA KWA KUWAPELELEZA ISIS
Mateka wakiwa wamepigishwa magoti tayari kwa kuuawa. Mateka wakipelekwa sehemu ya kuadhibiwa kwa ujasusi dhidi ya ISIS.…
10 years ago
Habarileo01 Apr
IGP apangua makamanda
INSPEKTA Jenerali wa Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania